Search

195 results for Noor Shija :

  1. Kagame awasha mwenge kukumbuka mauaji ya kimbari Rwanda

    Marais kadhaa akiwamo Rais Samia Suluhu Hassan na Rais mstaafu wa Marekani Bill Clinton wamehudhuria, siku hiyo ya Aprili 7 inayotambuliwa na Umoja wa Mataifa na Shirika la Umoja wa Mataifa...

  2. Mabula ataka Serikali isiwaondoe wananchi kwa ajili ya wawekezaji

    Mbunge wa Ilemela (CCM), Dk Angelina Mabula ameitaka Wizara ya Madini kutowaondoa wananchi kwenye ardhi wanayomiliki kwa sababu ya kumpa mwekezaji, badala yake ameshauri wawe sehemu ya umiliki wa...

  3. Shabiby ataka fedha za bima kwa wote zikatwe kwenye laini za simu

    Ashauri laini za simu zikatwe Sh2,000 kila mwezi huku wabunge, wafanyabiashara na wafanyakazi wakikatwa Sh10,000 kila mwezi.

  4. Mbunge ataka vyama vya siasa vianzishe dawati la jinsia

    Asema sheria mpya inavitaka vyama vya siasa vianzishe madawati ya jinsia ndani yake.

  5. Mbunge alia mitaa zaidi ya 10 jimbo la mjini kukosa umeme

    Ashangaa vijana wenye ujuzi kama saluni na uchomeleaji wataufanyia wapi?

  6. Mbunge ataka bajeti itengwe kuongeza kata, mitaa, vitongoji

    Dodoma. Mbunge wa Tabora Mjini (CCM), Emmanuel Mwakasaka ameitaka Serikali itenge bajeti kwa ajili ya kuongeza maeneo ya kiutawala kutokana na ongezeko la idadi ya watu Tanzania baada ya Sensa ya...

  7. Bulaya ataka Serikali itibu waraibu wa dawa za kulevya

    "...Nenda Muhimbili zaidi ya watu 1,200 (Dar es Salaam), nenda kliniki ya Tanga zaidi ya watu 1,000, lakini walioathirika ambao kwa takwimu zilizopitwa na wakati ni 530,000. Watu 30,000 ni ambao...

  8. PRIME Wastaafu wanavyoibua maumivu ya kikokotoo kwa mbunge

    Asisitiza umuhimu wa kutoa mafao kwa mkupuo na kulipa deni la Serikali kwa mifuko hiyo.

  9. Ruzuku ya Sh11 bilioni yatolewa kwa vyama vya siasa

    Pia Tume ya Taifa ya Uchaguzi imewezeshwa kwa kupewa Sh77.91 bilioni kwa ajili ya maandalizi ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura ikiwamo kupewa vitendeakazi vipya.

  10. Samia, Mwinyi waigiza filamu ya ‘Amazing Tanzania’

    Serikali imesema kutokana na mafanikio ya filamu ya ‘The Royal Tour’, imeandaa nyingine yenye hadhi ya kimataifa ya kutangaza utalii ya ‘Amazing Tanzania,’ iliyolenga soko la China.

Previous

Page 3 of 20

Next