Search

1166 results for Mussa Juma :

  1. Mwanahabari achaguliwa mwenyekiti ACT Wazalendo Manyara

    Mwandishi wa habari mwandamizi, Said Njuki amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa ACT Wazalendo Mkoa wa Manyara kwa kipindi cha miaka mitano.

  2. Takukuru ‘kukomaa’ na Polisi waliofungwa miaka 20 kwa kuchukua Sh73 milioni za msaidizi wa Mwalimu Nyerere

    Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumamosi Januari 13, 2024, Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Arusha, Zawadi Ngailo amesema kwa sasa wanasubiri nakala ya hukumu hiyo ndipo waone hatua wanazoweza...

  3. PRIME Mahudhurio hafifu kidato cha kwanza yawaingiza viongozi mtaani

    Katika Shule ya Sekondari Mariwanda, wanafunzi 55 pekee ndio wameripoti shuleni hapo kati ya wanafunzi 196 waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza.

  4. Arusha na Manyara waanza kufuatilia watoto watoro shuleni

    Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Dk Suleiman Serera amewaagiza maofisa watendaji wa kata kuhakikisha wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wanaripoti shule.

  5. Vipindi vya sikukuu, Januari  ya ada, polisi huwa moto

    Ujambazi ni sehemu ya jeshi la polisi au kuna majambazi yamejiingiza jeshini?

  6. Mahudhurio, madarasa, vifaa,  walimu tatizo  shule zikifunguliwa leo

    Upungufu wa madarasa, vifaa na walimu vimetajwa kuwa changamoto waliyoikuta wanafunzi wakati shule za msingi na sekondari zikifunguliwa kote nchini.

    New Content Item (1)
  7. PRIME Polisi watatu jela miaka 20 kwa rushwa

    Kabla ya polisi hao kufikishwa katika mahakama ya kiraia, walishitakiwa katika mahakama ya kijeshi na kufukuzwa kazi na Jeshi la Polisi kutokana na utovu wa nidhamu

  8. PRIME Siri mpango wa kuwalipua bomu askari

    Mahakama Kuu Kanda ya Songea, imewahukumu watu watatu kifungo cha miaka 15 jela kwa kuwashambulia askari polisi watano kwa mabomu na kuwasababishia majeraha mwilini, mmoja akikatwa vidole vya mguu.

  9. Video mamba aliyeuawa yaiibua Tawa

    Taharuki imegubika tukio la wawindaji maarufu kutoka Marekani, Josh na Sarah Bowmar, baada ya kudaiwa kumuua mamba mkubwa zaidi duniani nchini Tanzania.

  10. Kinana azitaka taasisi za kijamii zikomalie elimu ya ujasiriamali

    Kinana amesema endapo taasisi za kijamii zitajikita kuhamasisha elimu ya amali (ufundi), vijana wengi watapata utaalamu katika fani mbalimbali ambao utawawezesha kujiajiri, kuajiri wenzao na hata...

Previous

Page 4 of 117

Next