Search

203 results for William Shao :

  1. Puto lasababisha mvutano kati ya China, Marekani

    Beijing jana ilizidisha kulaani uamuzi huo wa Washington kudungua puto hilo lililopita kwenye anga ya nchi hiyo na kudai kitendo hicho kinaweza kuwa, “pigo kubwa” kwa uhusiano baina ya nchi mbili...

  2. Papa Benedict XVI kuzikwa leo

    Kanisa Katoliki duniani lina taratibu zinazohusu vifo vya papa na mazishi yake, lakini zimeundwa mahsusi kwa ajili ya vifo vya mapapa walio madarakani.

  3. Ochuka arejeshwa Kenya, anyongwa-10

    Toleo lililopita tuliona jinsi Serikali ya Daniel Arap Moi ilivyowakamata watu wengi na wengine kuwekwa kizuizini wakihusishwa na tukio la mapinduzi ya Agosti 1, 1982.

  4. Raila Odinga awekwa kizuizini-9

    Jana tuliona jinsi wanajeshi, wahadhiri wa vyuo na wanafunzi walivyokamatwa baada ya mapinduzi kushindwa, miongoni mwa waliokamatwa alikuwa Raila Odinga.

  5. Ochuka ateka ndege, akimbilia Tanzania-8

    Katika toleo lililopita tuliona wanajeshi waasi waliotaka kuipindua Serikali ya Rais Daniel Arap Moi walivyoshambuliwa na vikosi vya usalama.

  6. Mapinduzi yazimwa kama yalivyoanza-7

    Katika toleo lililopita tuliangazia jinsi mtangazaji maarufu wa redio, Leonard Mambo Mbotela alivyotekwa na wanajeshi nyumbani kwake, akapelekwa kituo cha Redio ya Sauti ya Kenya (VoK) na...

  7. Serikali ya Kenya yapinduliwa Agosti-6

    Katika toleo lililopita tuliona namna ambavyo wapanga njama za mapinduzi hawakuwa na tarehe maalumu ya kufanya mapinduzi hayo lakini baada ya uvumi kusambaa kwamba Wakikuyu walikuwa wakipanga...

  8. Mipango ya kupindua serikali ya Moi yaanza-5

    Katika matoleo yaliyopita tuliangalia namna baadhi ya wanasiasa wa Kenya, wanafunzi wa elimu ya juu na wahadhiri wa vyuo walivyoanza kupata misukosuko kila walipoikosoa Serikali ya Rais Daniel...

  9. Njia ya kuelekea kumpindua Moi-4

    Katika toleo la jana tuliona jinsi utawala wa miaka minne ya Rais Daniel arap Moi ulivyokabiliwa na maandamano ya wanafunzi na wapinzani wa kisiasa dhidi yake ndani na nje ya Bunge.

  10. Rais Moi na vuguvugu la kisiasa na wananchi-3

    Huko Kenya Agosti 1, 1982 kulifanyika jaribio la mapinduzi ya kijeshi lililoongozwa na mwanajeshi wa cheo cha chini, Hezekiah Ochuka aliyedumu kama Rais wa nchi hiyo kwa takribani saa sita tu.

Previous

Page 5 of 21

Next