Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

140 results for Stephano Simbeye :

  1. Songwe waomba barabara ya njia nne

    Wakazi wa Mkoa wa Songwe wamemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kusaidia ujenzi wa barabara ya njia nne kuanzia Mlowo hadi Tunduma ili kuondokana na adha ya foleni ndefu ya malori yanayokwenda nchi...

  2. Mabasi yaanza safari yakichelewa kwa saa sita mkoani Songwe

    Hatimaye Mabasi yanayofanya safari ya kutoka Tunduma mkoani Songwe kuelekea mikoa ya Mbeya, Iringa, Sumbawanga, Dodoma, Arusha, na Dar es salaam yameanza safari zake leo Februari 23, 2022 mchana...

  3. Wakazi Kata ya Myunga wajivunia kupata Chuo cha DIT

    Imeelezwa kuwa uwepo wa Chuo cha Ufundi DIT katika Kampasi ya Myunga Kata ya Myunga, Wilaya ya Momba mkoani Songwe umeleta neema na mwamko wa mabadiliko ya maendeleo katika kata.

  4. Kizimbani kwa kugushi nyaraka, kujipatia Sh6.4 milioni

    Watu wawili akiwemo Mchumi mkuu Ofisi ya Katibu Tawala Mkoa wa Songwe Halima Mpita wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Songwe kwa kosa la kuhujumu uchumi.

  5. Baba amchoma mwanawe

    Jeshi la Polisi mkoani Songwe linamshikilia mkazi wa mtaa wa Ilembo wilayani Mbozi, Mariko Kahinga kwa tuhuma za kumuunguza mtoto wake wa miezi sita.

  6. Mauaji yawaweka mtegoni vigogo

    Siku tatu baada ya Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango kumwagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Simon Sirro, kukomesha mauaji ya kikatili yanayoendelea kufanyika nchini, watu wengine kadhaa...

  7. Viongozi wa kijiji wakamatwa kwa tuhuma za mauaji

    Jeshi la Polisi mkoani Songwe linawashikilia watu watano wakiwemo viongozi wa kijijini na kitongoji kwa tuhuma za mauaji ya watu wawili wa familia moja katika Kijiji cha Mpuwi wilayani Momba.

  8. Mjamzito auawa baada ya kukataa kwenda kwa mganga wa kienyeji

    Jeshi la Polisi mkoani Songwe linamshikilia mkazi wa kata ya Mlale wilayani Ileje, Shukrani Kamwela (16) kwa tuhuma za mauaji ya Subira Kibona (16).

  9. Songwe washerehekea mvua mwaka mpya

    Baadhi ya wananchi mkoani Songwe wamesherehekea kuanza kwa mwaka mpya kwa kushangilia kunyesha mvua nyingi wakidai imeashiria mwaka 2022 utakuwa na neema kufuatia ukame ambao umesababisha walio...

  10. Kikwete, Hichilema wamlilia Askofu Mwanisongole

    Rais Mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete na Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema ni miongoni mwa viongozi wa waliotuma salaam za pole kwenye mazishi ya Askofu Mkuu Mstaafu wa Tanzania Assembles of...

Previous

Page 10 of 14

Next