Ndalichako awataka waongoza watalii nchini kuwa mabalozi
Arusha. Waziri wa Kazi, Ajira, Vijana na wenye ulemavu, Profesa Joyce Ndalichako amewataka waongoza watalii nchini kuwa mabalozi wazuri katika kutangaza vivutio vya utalii sambamba na kuwapeleka...