Search

484 results for Kelvin Matandiko :

  1. Upungufu wa dagaa maumivu mapya Dar

    Huenda ukawa umeshtushwa na upungufu wa dagaa unaojitokeza kwenye baadhi ya masoko jijini hapa.

  2. Mgombea wa upinzani ashinda urais Liberia

    Baada ya matokeo hayo, Weah kupitia hotuba yake amesema amempigia mshindani wake Boakai na kumpongeza kwa ushindi huo ulioweka historia ya kuendeleza ukuaji wa Demokrasia nchini humo.

  3. Benki ya Dunia yaahidi neema zaidi utafiti Tanzania

    Dar es Salaam. Benki ya Dunia (WB) imesema itaendelea kutoa ushirikiano wa kifedha na utalaamu Tanzania kwa ajili ya kufanya tafiti baada ya kuridhishwa na mwenendo wa miaka 15 ya ufadhili...

  4. RC Mbeya aibua mjadala ushindi wa Dk Tulia ubunge 2025

    Kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera inayoweza kutafsirika kama anamsafishia njia ya kuja kushinda ubunge Dk Tulia Ackson, imeibua mjadala unaoshinikiza marekebisho ya kuwabana watendaji...

  5. VIDEO: Kamishna wa utalii asimulia safari ngumu ya utalii Zanzibar

    Zikiwa zimebakia siku chache kabla ya Zanzibar kuadhimisha Sherehe za Mapiduzi, muasisi katika sekta ya utalii Zanzibar Walid Fikirini amesimulia mageuzi ya sekta hiyo kisera pamoja na hatua...

  6. Kituo kipya cha gesi ya magari chazinduliwa Dar

    Dar es Salaam. Gari lako limefungwa mfumo wa nishati ya gesi na unaendelea kusota foleni ya kujaza gesi (CNG)? Kuna habari njema. Naibu Waziri Mkuu wa Tanzania, Doto Biteko amezindua kituo cha...

  7. TAA yakabidhiwa Uwanja wa Ndege KIA

    Taarifa hiyo imesema Kadco ni kampuni iliyosajiliwa Machi 11, 1998 kwa mujibu wa Sheria ya Makampuni, Sura ya 212.

  8. Machungu ya huduma za magari ya gesi Tanzania

    Madereva wa magari yanayotumia mfumo wa gesi wanatumia wastani wa saa nne katika foleni ya kujaza gesi eneo la Kituo mama cha Ubungo (CNG) huku wakiitupia lawama Serikali kwa kuhamasa bila...

  9. Rais Samia ashauri mambo matatu kukuza utalii Afrika

    Hotuba ya dakika 10 ya Rais Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa 23 wa Kimataifa wa Baraza la Utalii Duniani (WTTC) mwaka 2023, imetoa mwelekeo wa Afrika kukuza sekta hiyo.

  10. Mchango wa Kampuni ya Twiga katika uchumi wa Taifa

    Kampuni ya Madini ya Twiga imetumia dola bilioni 3.041 (Sh7.5 trilioni) ikiwa ni mchango wake katika uchumi wa Tanzania tangu lilipoanzishwa miaka mitatu iliyopita, wakati kampuni ya Barrick Gold...

Previous

Page 2 of 49

Next