Search

286 results for Robert Kakwesi :

  1. Rais Samia kuzindua miradi ya Sh8.8 bilioni Tabora

    Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kuzindua miradi miwili yenye thamani ya zaidi ya Sh 8.8 bilioni katika ziara yake ya siku mbili mkoani Tabora kuanzia Oktoba 17 hadi 18,2023.

  2. TFC kusambaza mbolea kwa wakulima 150,000

    Amesema kwa mwaka huu wa fedha 2023/2024 Serikali imewatengea kiasi cha Sh40 bilioni kwa ajili ya kufanikisha mpango huo na kiasi kingine cha Sh70 bilioni kitatolewa na wadau wa maendeleo...

  3. Watu 12 wafariki kwa kugonga treni kwa miaka miwili

    Ndani kipindi hicho, jumla ya matukio 42 ya vyombo vya moto yakiwemo magari madogo, mabasi na pikipiki kugonga treni yaliripotiwa katika maeneo mbalimbali nchini.

  4. Baba kortini kwa kufanya mapenzi, kumpa ujauzito binti yake

    Hamis Said (37), mkazi wa Mtaa wa Nkokoto Wilaya ya Igunga amefikishwa mahakamani kwa kosa la kumpa ujauzito mtoto wake mwenye umri wa miaka 16.

    New Content Item (1)
  5. Waziri Silaa asisitiza umuhimu ulinzi maeneo ya hifadhi Tabora

    Watumishi wa Serikali Mkoa wa Tabora wameagizwa kulinda kwa wivu mkubwa maeneo ya hifadhi mkoani humo kwa faida ya vizazi vya sasa na vijavyo.

  6. RC Tabora ataja sababu wakulima kukosa mbolea

    Zaidi ya wakulima 120,000 sawa na asilimia 80.6 hawajanufaika na mbolea ya ruzuku mkoani Tabora msimu uliopita huku wakulima 29,517 sawa na asilimia 19.3 wakinufaika na mbolea hiyo.

  7. Hujuma TRC, Mbarawa atoa tamko

    Baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) wanadaiwa kulihujumu shirika hilo, ikiwemo kuiba mafuta huku mwingine akiyanyonya kisha kuweka maji katika injini ya kichwa cha treni.

  8. Askofu Mkuu Ruzoka: Kardinali Rugambwa hana pa kwenda

    Askofu Mkuu Paul Ruzoka awahakikishia waumini wa Jimbo Kuu la Tabora kuwa Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa kuendelea kubaki Tabora.

  9. Kardinali Rugambwa: Nimeyapokea majukumu haya kwa unyeyekevu

    Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa awasili jimboni Tabora huku akiwashukuru watanzania na kusema ameyapokea majukumu ya ukardinali kwa unyenyekevu mkubwa kama alivyokuwa anayapokea mengine...

  10. Serikali, mkandarasi kujadiliana ucheleweshaji reli ya SGR

    Ujenzi wa reli hiyo yenye urefu wa kilometa 368 unatekelezwa kwa gharama ya zaidi ya Sh4.4 trilioni. Utekelezaji wa mradi huo ulianza Machi, 2023 na unatarajiwa kumalizika ifikapo Januari, 2026.

Previous

Page 3 of 29

Next