Serikali, mkandarasi kujadiliana ucheleweshaji reli ya SGR
Ujenzi wa reli hiyo yenye urefu wa kilometa 368 unatekelezwa kwa gharama ya zaidi ya Sh4.4 trilioni. Utekelezaji wa mradi huo ulianza Machi, 2023 na unatarajiwa kumalizika ifikapo Januari, 2026.