Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

137 results for Happy Lazaro :

  1. Mamia wamuaga aliyefariki ajali ya ndege

    Aneth Kaaya mmoja watu 19 waliofariki katika ajali ya ndege ya shirika la Precision Air iliyotokea Novemba 6 Bukoba mkoani Kagera, amezikwa wilayani Arumeru mkoani Arusha na mamia ya waombolezaji.

  2. EAC wakutana kujadili changamoto huduma za posta

    Wadau wa Mashirika ya Posta kutoka nchi za EAC wakutana na kujadili namna ya kurahisisha utoaji huduma hizo.

  3. Nape ataka mashirika ya Posta Tanzania na Kenya kufanya biashara kidigitali

    Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye ameyataka mashirika ya Posta Tanzania na Kenya kuhakikisha wanafanya biashara ya usafirishaji kwa njia ya kidigitali zenye...

  4. Asasi za kiraia nchini zaiomba serikali kutunga sheria ya kudhibiti ukatili

    Asasi za kiraia nchini zimeiomba Serikali kuchukulia matukio ya ukatili dhidi ya mwenza yanayoendelea hivi sasa, kama jambo la dharura na kuitungia sheria ya ukatili majumbani ili kukomesha...

  5. Azaki zatakiwa kuendana na mabadiliko ya teknolojia

    Asasi za kiraia nchini zatakiwa kusaidia watu kubadilika na kuendana na mabadiliko ya teknolojia.

  6. Serikali yatakiwa kurasimisha ardhi kumaliza migogoro

    Wadau wa sheria mkoani Arusha waiomba serikali kuendelea na zoezi la urasimishaji ardhi ili kupunguza migogoro ya ardhi.

  7. Taasisi yatoa mafunzo kudhibiti vifo vya watoto

    Taasisi ya afya Ifakara imetoa mafunzo kwa wataalamu wa vifaa tiba na kukabithi vifaa vya Sh80 milioni.

  8. TRA yaweka mkakati kurahisisha ulipaji kodi nchini

    Mamlaka ya mapato nchini (TRA) imeweka mikakati katika ulipaji kodi kwa kwa kusikiliza malalamiko ya walipa kodi.

  9. Dk Ndumbaro ataka elimu kwa wananchi matumizi ya Tehama

    Dk Ndumbaro amesema kuwa, Wizara yake imeweka vipaumbele 14 ikiwemo kuhakikisha kunakuwepo na matumizi ya Tehema katika mifumo yote ya sheria ili haki ipatikane kwa kasi na kwa gharama nafuu zaidi.

  10. Balozi Chana aipa kazi Bodi mpya Ngorongoro

    Waziri wa Maliasili na Utalii amezindua Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Hifadhi Ngorongoro akiitaka kusimamia mikakati ya kuongeza watalii na mapato ya Serikali katika sekta hiyo.

    New Content Item (1)
Previous

Page 5 of 14

Next