Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

140 results for Stephano Simbeye :

  1. Mgawo wa maji wapoa wa umeme ukitikisa

    Wakati mgawo wa maji ulioanza mwezi uliopita ukipungua jijini Dar es Salaam, maumivu bado yanaendelea baada ya mgawo wa umeme kushika kasi.

  2. Katavi, Songwe wapata wenyekiti wapya CCM

    Msimamizi wa uchaguzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Katavi, Wazizi Kidamba amemtangaza Idd Hassan Kimanta kuwa mwenyekiti mpya wa chama hicho mkoa wa Katavi.

  3. Sura mpya zachomoza UWT, UVCCM

    Uchaguzi wa Jumuiya za Umoja wa Vijana (UVCCM) na Umoja wa Wanawake (UWT) wa Chama cha Mapinduzi jana umetimua vumbi, ukishuhudia vigogo katika jumuiya hizo wakibwagwa na kuibuka kwa sura mpya.

  4. Mchungaji, wanawe wakamatwa kifo cha ndugu wakimuombea

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linawashikilia watu watatu wa familia moja kufuatia kifo cha ndugu wa wanafamilia hao, Anna Mwansimba (30) anayedaiwa kufariki wakati wakimfanyia maombi nyumbani.

  5. Mmoja afariki, 45 walazwa kwa kunywa pombe za kienyeji

    Mkazi wa Kijiji cha Nambala wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, Kenneth Nzunda (58) amefariki dunia na wengine 45 kulazwa hospitalini baada ya kunywa pombe za kienyeji.

  6. Baba wa mtoto anayedaiwa kuibiwa afunguka

    Shahidi katika kesi ya wizi wa mtoto, Emmanuel Mwanga ameiambia mahakama ya Mwanzo Vwawa mjini mkoani hapa kuwa watuhumiwa kwa kitendo hicho walikuwa na nia ovu.

  7. Songwe waomba miundombinu ya umwagiliaji

    Baadhi ya wakulima wanaojihusisha na kilimo cha umwagiliaji, wameiomba Serikali kuwatengenezea miundombinu ya umwagiliaji Ili waweze kuimarisha shughuli zao huku wakiendelea kuhifadhi vyanzo vya...

  8. Kizungumkuti cha mbolea nchini

    Upatikanaji wa mbolea ya ruzuku nchini unaelezwa kuwa wa kusuasua huku baadhi ya maeneo yakiwa na msururu mrefu wa wakulima wanaoifuata mjini.

  9. Ahamasisha kilimo cha mbogamboga kuimarisha lishe

    Mkazi wa Mbozi mkoani Songwe ameanzisha kilimo cha bustani nyumbani kwake huku akihamasisha wanajamii kulima kilimo hicho ili kuhamasisha upatikanaji wa chakula na kuimarisha lishe.

  10. Songwe watakiwa kujenga tabia kunawa mikono kuepuka magonjwa ya mlipuko

    Afya za watu ziko hatarini kufuatia tabia ya watu kunawa mikono ili kujikinga na magonjwa ya mlipuko kupungua katika jamii ikilinganishwa na kipindi cha mapambano dhidi ya Uviko-19.

Previous

Page 7 of 14

Next