Misikiti itumike hivi kuutumikia umma Katika historia ya Uislamu, msikiti haukuwa tu mahali pa kuswali. Ulikuwa moyo wa jamii, kitovu cha mshikamano, darasa la elimu, mahakama ya haki, na kimbilio la wanyonge.
Misikiti itumike hivi kuutumikia umma Katika historia ya Uislamu, msikiti haukuwa tu mahali pa kuswali. Ulikuwa moyo wa jamii, kitovu cha mshikamano, darasa la elimu, mahakama ya haki, na kimbilio la wanyonge.
Bunge la Seneti lapunguza makali muswada wa uhusiano wake na Tanzania Bunge la Seneti la Marekani limefanya marekebisho ya muswada unaohusu uhusiano kati ya Marekani na Tanzania, kwa kuondoa pendekezo la kusitisha misaada ya usalama na ushirikiano wa kijeshi kwa...