PRIME Fahamu njia sahihi ya kuacha pombe kiafya Ni uchungu kwa ndugu pale mpendwa wao anapoangukia kwenye unywaji wa pombe wa kupindukia.
PRIME Kilio cha ma-DC kuazima magari chazua gumzo Imedaiwa kuwa, gari lenye thamani ya Sh60 milioni ‘linaoza’ kwa sababu ya matairi ya Sh2.4 milioni au kipuri cha Sh500,000, linatelekezwa kwa miezi sita baadaye linauzwa Sh3 milioni
CDF wa Kenya afariki dunia katika ajali ya helkopta Rais wa Kenya William Ruto ametangaza kifo cha Mkuu wa Majeshi wa nchi hiyo (CDF), Jenerali Francis Ogolla baada ya kupata ajali ya helkopta leo Alhamisi Aprili 18, 2024.