Hatima ya vigogo Tume Huru ya Uchaguzi kuteka bajeti ya Sheria na Katiba
Hoja ya kuwataka wajumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kujiuzulu, vyama kuanzisha madawati ya jinsia na Katiba mpya, huenda zikapata majibu katika hotuba ya bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria.