PRIME Kauli ya CCM kuhusu Askofu Gwajima kuwania ubunge Kauli ya CCM imekuja wakati ambao Askofu Gwajima yupo kwenye wimbi zito baada ya kanisa lake kufutwa.
Masaju ateuliwa Jaji Mkuu kumrithi Profesa Ibrahim Jaji Masaju anachukua nafasi ya Jaji Profesa Ibrahim Juma ambaye amestaafu rasmi.
PRIME Ni bajeti ya kimkakati inayomuakisi Mtanzania Serikali imewasilisha bajeti ya kimkakati kwa mwaka wa fedha 2025/26, ikilenga kuiweka nchi katika nafasi imara ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.
PRIME Camara na Simba upepo umebadilika ghafla Fagio kubwa na la kushitua linaweza likapita kwa Wana fainali wa Kombe la Shirikisho Afrika, Simba kama kamati yenye dhamana ya kusajili itaendelea kushikilia msimamo inaouamini kwaajili ya...
Vipaumbele tofauti bajeti za Afrika Mashariki zikiongezeka Nchi zilizowasilisha bajeti zao leo Juni 12, 2025 ni Tanzania, Kenya, Uganda na Rwanda zinazonesha tofauti katika vipaumbele huku zikiweka mkazo kwenye vyanzo vipya vya mapato.
PRIME Wanandoa wauawa Tabata, dada asimulia Ni nani amewaua wanandoa Antony Ngaboli (46) na Anna Amiri (39)? Hili ni swali linaloulizwa na kila mmoja aliyefika nyumbani kwa wawili hao eneo la Tabata Bonyokwa GK, wilayani Ilala jijini Dar...
Export Credit Financial Services inawawezesha wasafirishaji wa kitanzania kupitia ujumuishaji wa kifedha
Matumizi ya Sayansi: Kuboresha huduma za afya ya mimea kwa ajili ya usalama wa chakula na biashara Tanzania
Kusukuma mbele kauli ya ‘Kilimo ni Biashara’ kupitia Ajenda 10/30: Mafanikio ya Wizara ya Kilimo kupitia COPRA
Masaju ateuliwa Jaji Mkuu kumrithi Profesa Ibrahim Jaji Masaju anachukua nafasi ya Jaji Profesa Ibrahim Juma ambaye amestaafu rasmi.
Dizeli, petroli, pombe, shisha zaongezwa kodi Zanzibar Bajeti ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kwa mwaka wa fedha 2025/26 imependekeza kuongeza viwango vya ushuru katika bidhaa mbalimbali, zikiwamo dizeli, petroli, pombe kali, mvinyo na...
Mwalimu: Kuiacha CCM kupita bila kupingwa ni dhambi Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu amesema chama hicho kinatambua historia ya siasa za upinzani hazijawahi kuwa rahisi Afrika, lakini itakuwa dhambi kubwa...
PRIME Ina pande mbili kicheko, maumivu Ni bajeti ya kicheko na maumivu, hivi ndivyo inavyoweza kutafsiriwa kufuatia bajeti ya mwaka wa fedha 2025/2026 kuwa na pande mbili zinazowagusa wananchi.
Kihimbwa apigwa stop Fountain Gate kisa kumpiga mwamuzi Uongozi wa timu ya Fountain Gate FC yenye makazi yake Babati mkoani Manyara imemsimamisha nyota wao Salum Kihimbwa kwa muda usiojulikana kutokana na utovu wa nidhamu.
Mwananchi Newsletter Sent every week with an update on the latest Africa news and analysis to keep you plugged into the region. Weekly newsletter Subscribe
Bajeti yagusa huduma zinazotolewa Basata Bajeti ya Serikali mwaka 2025/26, imetoa mapendekezo ya ada mpya kwa huduma zinazotolewa na Baraza la Sanaa la taifa BASATA, huku DJs, MCs, na wapambaji wakiguswa.
PRIME Mstaafu anapoishia kuwa jiwe kuu la pembeni... Mstaafu wetu sasa anafikishwa mahali pa kuamini kuwa, kuna Watanzania wachache wanaoonesha wana mawazo mema na muhimu ya kumjali mstaafu wa Taifa na kumuwezesha kukabiliana kweli na hali ngumu...
Vyanzo vinane kuchangia bima kwa wote VVU/Ukimwi Serikali katika mwaka 2025/2026 imependekeza kuanzisha vyanzo vya mapato vinane kwa ajili ya kudhibiti maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) na kugharimia bima ya afya kwa wote.