Sababu Polisi kumshikilia kada wa Chadema Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana, Chozaire aliondoka nyumbani kwake Mtaa wa Mwatulole, Manispaa ya Geita, Juni 29, 2026, saa 4:00 asubuhi, kuelekea sokoni.
Samia amteua Mwishawa kuongoza Tanapa Taarifa hiyo imeeleza kuwa uteuzi wa Mwishawa, unaanza kutekelezwa mara moja.
Dk Nchimbi ataka utatuzi malalamiko utolewaji vyeti vya tathimini ya mazingira Dk Nchimbi amesema kama kuna jambo linalotia doa ni miradi mikubwa ya nchi kuchelewesha kwa kisingizio mbalimbali ikiwamo maofisa kujaribu kupata rushwa.
Ulanzi ni zaidi ya kilevi, umebeba utajiri Kwa miaka mingi, wakazi wa Nyanda za Juu Kusini wameufahamu ulanzi kama kinywaji cha asili kinachotumiwa kwa matumizi ya kawaida, huuzwa kwa bei nafuu na huharibika kwa haraka, hivyo...
Hanlink Mobility: Gwiji wa usafirishaji Afrika Mashariki atua Tanzania, aahidi mapinduzi ya viwanda na ajira
Watu Credit (Tanzania) Limited yaadhimisha miaka mitano ya ujumuishaji wa kifedha, ikiwezesha mikopo ya zaidi ya Sh 700 bilioni
Idara ya Kilimo na Uhakika wa Chakula: Nguzo muhimu ya kuhakikisha upatikanaji na usalama wa chakula Zanzibar
Rais Samia, Gates waungana kuokoa mama na mtoto Afrika Rais Samia pia ameeleza maandalizi yanayoendelea ya kuandaa ramani ya pamoja ya Bara la Afrika chini ya jukumu lake kama Bingwa wa AU.
Makusanyo ZRA yapaa ikivuka lengo Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) imekusanya Sh1.215 trilioni katika mwaka wa fedha 2025/26, ikiwa ni asilimia 96.7 ya lengo la kukusanya Sh1.257 trilioni.
Sababu Polisi kumshikilia kada wa Chadema Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana, Chozaire aliondoka nyumbani kwake Mtaa wa Mwatulole, Manispaa ya Geita, Juni 29, 2026, saa 4:00 asubuhi, kuelekea sokoni.
Wanahisa TBL wapitisha hesabu za 2025, dira 2026 ikitolewa Wanahisa wa Kampuni ya Bia Tanzania (Tanzania Breweries Limited - TBL) wamepitisha kwa kauli moja taarifa na hesabu za mwaka 2025 katika mkutano mkuu wa 53 wa wanahisa uliofanyika katika Kituo...
Roy Keane auona mwisho wa England Kombe la Dunia Nahodha wa zamani wa Manchester United na timu ya taifa ya Ireland, Roy Keane, amesema anaamini safari ya England katika Fainali za Kombe la Dunia 2026 itaishia hatua ya robo fainali, akidai timu...
Mpango wa Nora Fatehi kwa Rayvanny ni upi? Miaka sita iliyopita ndipo ulisikika wimbo wa kwanza kati ya staa wa Bongo Fleva, Rayvanny na Nora Fatehi, mzaliwa wa Toronto, Canada ambaye amepata umaarufu kutokana na soko la filamu India...
Amani na maendeleo ni chanda na pete Kuna jambo moja ambalo Watanzania wengi hulitaja kwa fahari wanapozungumzia taifa lao; amani. Kwa zaidi ya miongo sita tangu kupata uhuru, Tanzania imeendelea kuwa miongoni mwa nchi chache barani...