Riba kubwa inavyokwamisha wazabuni wa ndani Kampuni za ndani zinaendelea kupoteza zabuni kubwa kwa wawekezaji wa kigeni, hususan kampuni kutoka China, kutokana na gharama kubwa za mikopo, imeelezwa.
Vifo vya joto kali vyafikia 3,700 Ulaya, Tanzania yashuhudia baridi kali Mamlaka ya Afya ya Umma ya Ufaransa imeeleza kuwa takwimu hizo ni za awali na huenda zikaongezeka baada ya uchambuzi wa kina kukamilika.
Hanlink Mobility: Gwiji wa usafirishaji Afrika Mashariki atua Tanzania, aahidi mapinduzi ya viwanda na ajira
Watu Credit (Tanzania) Limited yaadhimisha miaka mitano ya ujumuishaji wa kifedha, ikiwezesha mikopo ya zaidi ya Sh 700 bilioni
Idara ya Kilimo na Uhakika wa Chakula: Nguzo muhimu ya kuhakikisha upatikanaji na usalama wa chakula Zanzibar
Tanzania, Angola kugeukia uhusiano wa kiuchumi Dar es Salaam. Tanzania na Angola zimedhamiria kugeuza uhusiano wake kutoka wa kidiplomasia kuwa wa kiuchumi kwa kuongeza uwekezaji, biashara na ushirikiano wa viwanda, huku zikilenga kufungua...
Hemed: Sitaki mawaziri wa mafaili, nendeni kwa wananchi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amesema hataki kuona mawaziri wa ‘ma-file’ badala yake watoke maofisini kwenda kwa wananchi kusikiliza na kutatua changamoto zao.
Mvutano mazishi ya Rais Lungu wahamia kwenye siasa za uchaguzi Lungu alifariki Juni 5, 2025 mjini Pretoria, na tangu wakati huo mwili wake umehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti nchini Afrika Kusini kutokana na mzozo wa kisheria uliodumu.
Tanzania, Angola kugeukia uhusiano wa kiuchumi Dar es Salaam. Tanzania na Angola zimedhamiria kugeuza uhusiano wake kutoka wa kidiplomasia kuwa wa kiuchumi kwa kuongeza uwekezaji, biashara na ushirikiano wa viwanda, huku zikilenga kufungua...
Simba watambia Irizar zao wakiikejeli Yanga Simba ilifuta majonzi ya msimu huu kwa kutwaa taji la CRDB jana Jumamosi, kisiwani Pemba baada ya kuichapa Azam bao 1-0 katika fainali iliyochezwa Uwanja wa Gombani, hivyo kujihakikishia kumaliza...
Anko Kitime: Safari ndefu ya muziki wa mijini nchini Tanzania Nikiwa msanii wa muziki nchini Tanzania kwa zaidi ya miaka 50, nimejionea matukio mengi muhimu katika historia ya Tanzania ambayo yamebadilisha kabisa mwelekeo wa muziki wa rhumba
Amani na maendeleo ni chanda na pete Kuna jambo moja ambalo Watanzania wengi hulitaja kwa fahari wanapozungumzia taifa lao; amani. Kwa zaidi ya miongo sita tangu kupata uhuru, Tanzania imeendelea kuwa miongoni mwa nchi chache barani...