Dereva wa Heche akutwa amefariki nyumba ya wageni Kigoma Amesema uchunguzi unaendelea kubaini chanzo cha kifo hicho.
Samia awaapisha viongozi wapya, asisitiza uadilifu na matokeo chanya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewaambia viongozi wapya aliowaapisha watambue wamebeba dhamana hivyo wanapaswa kuwa waadilifu na kuleta matokeo yanayoonekana kwa wananchi na si kwenda...
Idara ya Kilimo na Uhakika wa Chakula: Nguzo muhimu ya kuhakikisha upatikanaji na usalama wa chakula Zanzibar
Serikali kufanya marekebisho ya sheria kuendana na Dira 2050 Serikali ya Tanzania imeanza maandalizi ya kufanya mapitio ya sheria mbalimbali za nchi ili ziendane na mahitaji ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050.
Mkakati wasukwa kuwawezesha wanafunzi kuongeza ufaulu Ili kuinua kiwango cha elimu, imezinduliwa programu maalumu itakayowawezesha wanafunzi wa msingi na sekondari kufaulu mitihani yao ya kitaifa.
Zungu afunguka zuio mikutano ya hadhara Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu ameunga mkono uamuzi wa Serikali kusitisha utoaji vibali vya mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa, akisema ni hatua nzuri kutokana na kipindi kilichopo.
Rais wa Msumbiji kushiriki ufunguzi maonyesho ya Sabasaba Rais wa Msumbiji, Daniel Chapo anatarajiwa kuwa mgeni maalumu wa Rais Samia Suluhu Hassan katika ufunguzi rasmi wa Maonyesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DiTF) unaotarajiwa...
Kocha Uholanzi ajiuzulu kisa kipigo cha Morocco Kocha wa timu ya Taifa ya Uholanzi, Ronald Koeman ametangaza kujiuzulu nafasi yake baada ya timu hiyo kuondolewa na Morocco katika hatua ya 32 Bora ya Kombe la Dunia.
Bongo ilimtambua Wema Sepetu kabla ya mitandao ya kijamii Katika historia ya shindano la Miss Tanzania, Wema Sepetu ndiye Miss aliyeandikwa na kujadiliwa sana na vyombo vya habari pamoja na mitandao ya kijamii. Mtindo wake wa maisha na kazi vinaruhusu...
Amani na maendeleo ni chanda na pete Kuna jambo moja ambalo Watanzania wengi hulitaja kwa fahari wanapozungumzia taifa lao; amani. Kwa zaidi ya miongo sita tangu kupata uhuru, Tanzania imeendelea kuwa miongoni mwa nchi chache barani...