Katibu wa Bavicha akamatwa madai ya kuhamasisha maandamano Kutokana na taarifa hizo kuzua maswali mengi, Mwananchi ilifanya ufuatiliaji kwa viongozi wa chama hicho na Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga ili kuthibitisha kilichotokea.
Heche: Tuhuma dhidi yangu zinanipa nguvu ya kupambana Amesema nia yake bado iko pale pale na hatapoteza muda kujibu yanayosemwa dhidi yake kwani yamelenga kumtoa kwenye uelekeo.
DC Masindi ahimiza wanawake kukuza uchumi wao Mkuu wa Wilaya ya Kishapu, Peter Masindi amewataka wanawake kutumia Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi ili kujijengea uchumi na kunufaika na fursa za maendeleo huku akisisitiza umuhimu wa...
Shirika la Bandari latoa gawio la Sh3.6 bilioni kwa Serikali Ofisi ya Msajili wa Hazina imepokea gawio la Sh3.6 bilioni kutoka Shirika la Bandari Zanzibar (ZPC), ikiwa ni sehemu ya mchango wa shirika hilo katika kuongeza mapato ya Serikali na kuimarisha...
Heche: Tuhuma dhidi yangu zinanipa nguvu ya kupambana Amesema nia yake bado iko pale pale na hatapoteza muda kujibu yanayosemwa dhidi yake kwani yamelenga kumtoa kwenye uelekeo.
NMB yaibuka kinara Afrika Mashariki huduma kwa wafanyabiashara wadogo Washindi walitunukiwa Julai 16, 2026 katika hafla iliyofanyika Peninsula Hotel, London, Uingereza.
Saliba aiingiza sokoni Arsenal ikimfuata Konsa Maumivu ya mgongo ambayo William Saliba ameyapata katika Fainali za Kombe la Dunia 2026, yameilazimisha Arsenal kuingia sokoni kusaka beki wa kati na inamuona Ezri Konsa wa Aston Villa kama...
Linah Sanga amepotelea wapi? Mwimbaji wa Bongofleva, Linah a.k.a Ndege Mnana, ni miongoni mwa wanamuziki waliotoka chini ya usimamizi wa Tanzania House of Talent (THT), takribani miaka 15 iliyopita huku wengi wakimtabiria...
Kakama inavyoipa nguvu Burundi kukuza, kuimarisha Kiswahili EAC Burundi imeendelea kuonyesha kivitendo kuwa inaipa lugha ya Kiswahili nafasi muhimu katika kuimarisha mawasiliano, biashara, elimu na ushirikiano ndani ya Jumuiya Afrika Mashariki.
Upimaji presha, kisukari mara kwa mara unavyookoa maisha Ni mara ngapi tunashuhudia watu wakienda haja kubwa sana usiku au kuwa na mabadiliko ya mapigo ya moyo ya mara kwa mara?