Rais Samia awateua Balozi Mero, Kipanda Taarifa ya uteuzi huo imetolewa leo Jumanne Juni 23, 2026 na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka na kusainiwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Bakari Machumu.
Jinsi ya kuzuia kuungwa makundi WhatsApp bila ridhaa, kudhibiti MB Baadhi ya watumiaji wa mtandao wa WhatsApp wasiopenda kuungwa kwenye makundi bila ridhaa zao wakumbuke wanaweza kuzuia kuwekwa kwenye makundi hayo kupitia sehemu ya mipangilio.
Mahakama ilivyomaliza sakata la kuzikwa Edgar Lungu Lungu alifariki dunia akiwa Afrika Kusini Juni 5, 2025 alipokuwa akipatiwa matibabu, na tangu wakati huo mwili wake umekuwa ukizuiliwa kutokana na mvutano kati ya familia yake na Serikali ya...
Idara ya Kilimo na Uhakika wa Chakula: Nguzo muhimu ya kuhakikisha upatikanaji na usalama wa chakula Zanzibar
Rais Samia awateua Balozi Mero, Kipanda Taarifa ya uteuzi huo imetolewa leo Jumanne Juni 23, 2026 na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka na kusainiwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Bakari Machumu.
Hemed aufunga mjadala wa ajira, bima ya afya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla ameahirisha Baraza la Wawakilishi akifunga mjadala kuhusu hoja tatu zilizoibuka barazani na kuibua hisia tofauti mitandaoni juu ya...
Hawa ndiyo Mawaziri Wakuu wa Uingereza waliojiuzulu Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer ametangaza kujiuzulu wadhifa wake na uongozi wa Chama cha Labour, lakini unafahamu viongozi waliowahi kujiuzulu nchini Uingereza katika wadhifa huo?
EAC, EU kuwekeza Sh84 bilioni kwenye soko la kidijitali Afrika Jumuiya ya Afrika Mashariki na Umoja wa Ulaya wanatarajia kuwekeza Euro 28 milioni (Sh84 bilioni) katika kuimarisha soko la kidijitali la Afrika.
Timu nane Afrika hesabu zinakubali Kombe la Dunia Wawakilishi nane wa Afrika kwenye Kombe la Dunia, wanaweza kutinga hatua ya mtoano ya 32 ikiwa mambo yatawanyookea katika mechi za mwisho za hatua ya makundi.
Nyimbo tano zilizotikisa historia ya Kombe la Dunia Katika Kombe la Dunia la FIFA mbali na burudani inayopatikana uwanjani kwa dakika 90. Mashindano hayo yamekuwa yakiacha alama kubwa katika ulimwengu wa muziki kupitia nyimbo rasmi zinazobeba...
Tarime yaanzisha mfumo maalumu kuwabaini wanafunzi watoro Halmashauri ya Wilaya ya Tarime Mjini mkoani Mara imeanzisha mfumo maalumu wa kufuatilia wanafunzi watoro na wanaoacha masomo kabla ya kuhitimu, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuhakikisha...