Mbaroni kuwaua baba, baba mdogo na kuwazika mbele ya nyumba Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linamshikilia Hosamu Hamza, maarufu Maopena, kwa tuhuma za kuwaua baba yake mzazi pamoja na baba yake mdogo.
Tanzania, Misri zakubaliana kuongeza biashara, kuunganisha bandari Makubaliano hayo yamewekwa wazi leo Julai 18, 2026 na Rais Samia Suluhu Hassan baada ya mazungumzo rasmi na Rais wa Misri, Abdel Fattah El-Sisi, ambaye yupo nchini kwa ziara ya kitaifa.
Mirungi yatumika hadharani, DCEA yakiri tatizo ni kubwa Ripoti ya Taarifa ya Hali ya Dawa za Kulevya ya mwaka 2025 inaonesha kiasi cha tani 26.36 za mirungi zilikamatwa, zikihusisha watuhumiwa 1,458, kati ya hao wanaume 1,265 na wanawake 193.
Soko la Sh40 bilioni laliza wafanyabiashara kukosa wateja Takribani mwaka mmoja tangu lifunguliwe soko la kisasa Chuini, Mkoa wa Mjini Magharibi, bado wafanyabiashara katika soko hilo wanalalama kukosa wateja wakidai mitaji yao kufa.
Wananchi walinda kura uchaguzi mdogo Kenya, chama tawala chabwagwa Wananchi hao walikesha nje ya vituo vya kupigia kura na baadaye katika vituo vya kujumlishia matokeo, wakifuatilia kwa karibu kila hatua ya mchakato wa uchaguzi.
Costech kuwapa mitaji wabunifu vijana Akizungumza baada ya kukagua mabanda ya maonyesho ya ubunifu wa wanafunzi, Mkurugenzi wa Menejimenti ya Maarifa wa Costech, Samson Mwera amesema wabunifu na wataalamu vijana watakaokidhi vigezo...
Lamine Yamal ampa mchecheto Kocha Argentina Lakini Scaloni anaamini kwamba licha ya kutokuwa na takwimu nzuri katika mashindano hayo, Lamine Yamal anabakia kuwa mchezaji tishio zaidi wa Hispania na anatamani hata mchezaji huyo asicheze...
Safari ya Shetta kimuziki kabla ya uongozi Wikiendi iliyopita nilimuona Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Nurdin Juma maarufu kama Shetta akitumbuiza katika show ya kuadhimisha miaka 30 ya Bongofleva, kisha nikakumbuka safari yake ya muziki...
Waraka wa Zitto Kabwe kwa Rais Samia kuhusu SGR Kigoma Usafiri wa reli kwenda Kigoma ni lazima uende sambamba na usafiri wa maji katika Ziwa Tanganyika ili kubeba mzigo kutoka mashariki ya DRC kuelekea Bandari ya Dar es Salaam. Hivyo zinahitajika...
Upimaji presha, kisukari mara kwa mara unavyookoa maisha Ni mara ngapi tunashuhudia watu wakienda haja kubwa sana usiku au kuwa na mabadiliko ya mapigo ya moyo ya mara kwa mara?