Msigwa awaomba radhi wananchi Iringa, awaahidi kuingo’a CCM
Msigwa ameomba msamaha huo leo Jumamosi Juni 13, 2026 katika mkutano wa hadhara uliofanyika Uwanja wa Mwembetogwa mjini Iringa, ulioudhuriwa na Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, John Heche.