Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) Dk. Charles E. Msonde akitangaza matokeo ya darasa la nne, kidato cha pili na kidato cha nne mwaka 2020/2021
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) Dk. Charles E. Msonde akitangaza matokeo ya darasa la nne, kidato cha pili na kidato...
Wanafunzi 1,551,599 wamefaulu mtihani wa darasa la nne kati ya wanafunzi 1,704,286 waliofanya mtihani huo.
Ni matokeo ya kushangaza na yenye mvuto wa aina yake. Ndivyo unavyoweza kuyaelezea matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2020 yaliyotangazwa...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi Dk...