Mamia wawazika ndugu waliouawa, wapinga madai ya mgogoro wa fedha Mamia ya waombolezaji wamejitokeza eneo la Mwananyamala Kisiwani, Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam kushiriki mazishi ya ndugu wawili wanaodaiwa kuuawa kikatili na mtoto wao Hosamu Hamza...
Kodi mpya Kenya yaibua hofu kwawazalishaji wa marumaru Tanzania Mabadiliko ya mfumo wa kodi nchini Kenya yameibua hofu miongoni mwa wazalishaji wa bidhaa za marumaru nchini Tanzania, huku Serikali ikisema inaendelea na mashauriano ndani ya Jumuiya ya Afrika...
Ole Sendeka: Waungeni mkono waliochaguliwa, hata kama mliwapinga Mbunge wa zamani wa Simanjiro (CCM), Christopher Ole Sendeka, amewataka wananchi kuwapa ushirikiano viongozi waliochaguliwa kuwaongoza, hata kama hawakuwaunga mkono awali.
Kanisa Katoliki Zanzibar lawezesha wanawake mikopo isiyo na riba Kanisa Katoliki Jimbo la Zanzibar limeanzisha mpango wa kuwawezesha wanawake wajasiriamali wa Wilaya ya Kaskazini B, Mkoa wa Kaskazini Unguja kwa kuwapatia mafunzo ya ujasiriamali na mikopo isiyo...
Marekani, Iran hapajaeleweka Marekani imeendelea kuishambulia Iran kwa usiku wa nane mfululizo, huku mvutano kati ya mataifa hayo ukiongezeka, licha ya makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyofikiwa mwezi mmoja uliopita.
Kodi mpya Kenya yaibua hofu kwawazalishaji wa marumaru Tanzania Mabadiliko ya mfumo wa kodi nchini Kenya yameibua hofu miongoni mwa wazalishaji wa bidhaa za marumaru nchini Tanzania, huku Serikali ikisema inaendelea na mashauriano ndani ya Jumuiya ya Afrika...
Olise avunja rekodi ya miaka 56 Kombe la Dunia Rekodi ya gwiji wa soka duniani, Edson Arantes do Nascimento 'Pele' iliyodumu kwa miaka 56 katika fainali za Kombe la Dunia, imevunjwa rasmi na winga wa Ufaransa, Michael Olise usiku wa kuamkia...
Pongezi kwa Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva lakini kuna haya! Ninawapongeza waandaaji wa Tamasha la Miaka 30 ya Muziki wa Bongo Fleva lililofanyika Mlimani City tarehe 10 Julai 2026. Ukumbi ulijaa watu takribani 3,500, jambo linaloonyesha tamasha lilikuwa...
Waraka wa Zitto Kabwe kwa Rais Samia kuhusu SGR Kigoma Usafiri wa reli kwenda Kigoma ni lazima uende sambamba na usafiri wa maji katika Ziwa Tanganyika ili kubeba mzigo kutoka mashariki ya DRC kuelekea Bandari ya Dar es Salaam. Hivyo zinahitajika...