Mtanzania aliyeishi Afrika Kusini miaka 22 arejea akisimulia mateso Baada ya kuishi Afrika Kusini kwa miaka 22, Denis Raphael, Mtanzania aliyerejea nchini kupitia mpango wa kurejeshwa kwa hiari, amesema mazingira ya sasa kwa wageni nchini humo yamekuwa magumu...
Aliyekutwa mtupu chumbani kwa binti yake, akwama rufaa Mahakama imeeleza kuwa tukio hilo lilifichuka baada ya mama wa mtoto kuamka usiku na kugundua mumewe hayupo kitandani na alipoenda chumbani kwa binti yao alimkuta na mtoto huyo wakiwa utupu.
Tanesco yaingia mkataba uzalishaji megawati 100 umeme wa jua Jumla ya gharama za utekelezaji wa awamu zote mbili ni Sh323 bilioni.
Barker akoshwa Libasse kurejea kundini Simba Kiungo mshambuliaji wa Simba, Libasse Gueye, ameungana na timu hiyo akitokea mapumzikoni huku Kocha Mkuu, Steve Barker akisema bado wanahitaji muda wa kumuangalia kabla ya kufanya maamuzi kuhusu...
Ubabe wa Zuchu katika tuzo, digital streaming Ikiwa ni miaka zaidi ya sita tangu Zuchu alipotoka kimuziki chini ya WCB Wasafi, mwanamuziki huyo wa Bongofleva ameendelea kuonyesha ukubwa wake ndani na nje akiweka rekodi mbalimbali kupitia...
Dawa ya moto masokoni ni kuweka mifumo ya kinga Julai 5, 2026, lilitokea tukio la kuhuzunisha ambapo maduka zaidi ya 54 yaliteketea kwa moto na mengine 23 kuokolewa katika eneo la Lumumba jijini Mwanza.