Tanzania yatoa kauli mahindi kuzuiwa kuingia Kenya Serikali ya Tanzania imesema mazungumzo yanaendelea kati yake na Serikali ya Kenya kuhusu kuzuiwa kwa mahindi katika mpaka wa Namanga. ACT Wazalendo washauri sakata la mahindi limalizwe kidiplomasia Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Serikali ya Tanzania kukaa mezani na Serikali ya Kenya kumaliza mzozo wa soko la mahindi ya Tanzania... Puma Energy watoa mafuta bure kwa wanawake Wakati dunia ikiadhimisha siku ya wanawake kampuni ya mafuta ya Puma Energy imeadhimisha siku hiyo kutoa mafuta kwa wanawake wanaojishughulisha... Miili ya wanandoa waliofariki Mpwapwa yawasili Kilolo Miili ya Dk Harun Chawala na mkewe Neema Mwasanganga imewasili katika kijiji cha Viwenge wilayani Kilolo mkoani Iringa kwa ajili ya mazishi... Mbunge ataka wanawake kuripoti matukio ya unyanyasaji Mbunge wa viti maalum, Fatma Tawfiq amewataka wanawake kuwa mstari wa mbele kuripoti matukio ya ukatili wa kijinsia yanayofanyika katika jamii... Kitaifa Agizo la Waziri Jafo lapuuzwa Geita Kitaifa Mabilioni yatengwa kusambaza maji Same na Mwanga Kitaifa Taasisi ya AWF yaanzisha tuzo za Benjamin Mkapa Kitaifa Radi yaua mifugo Babati Kitaifa Ujumbe wa Tabwa kwa wanawake Kitaifa Wanawake Serengeti wapewa simu janja Kitaifa ‘Deci’ mpya yatikisa Kilimanjaro Barbro Johansson ni shule inayomsaidia mwanafunzi kufikia uwezo wake wa juu kitaaluma Room to Read Tanzania inalinda ustawi na haki za mtoto wa kike kupitia elimu Ushirikiano kwa vitendo: Umoja wa Ulaya Tanzania unaadhimisha siku ya kimataifa ya kutokomeza umaskini Maoni na Uchambuzi UCHAMBUZI: Kiswahili kinaweza kuwa Lingua Franka ya dunia Maoni na Uchambuzi UCHAMBUZI: Shule zetu zinavyoshindwa kuzalisha kina Mkapa wengi Maoni na Uchambuzi UCHAMBUZI: Coastal Union ni mfano bora wa kuigwa Ligi Kuu Maoni na Uchambuzi UCHAMBUZI: Wachezaji wetu watumie vema mapumziko ya corona kujifua Mwananchi Video video SIMULIZI ZA MWANANCHI: SHUHUDIA NYOKA ATOLEWA MDOMONI AKIWA MZIMA video MAGUFULI AIKUBALI 'BABA' YA Stamina ft Profesa Jay advertisement video MTOTO MWENYE KIPAJI AFUNGUKA UWEZO WAKE//MAMA ASIMULIA ALIVYOPIGWA NA NDUGU ZAKE Habari Zaidi Biashara Makala View More... Dk Bashiru ateuliwa kuwa balozi, katibu mkuu kiongozi Rais John Magufuli amemteua katibu mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally kuwa katibu mkuu kiongozi kuchukua nafasi ya Balozi John Kijazi aliyefariki dunia Februari 17, 2021. KONA YA WASTAAFU: Baada ya utumishi uliotukuka usiokuwa na utukutu...! Naam, sasa mhenga wetu ni mstaafu. Baada ya miaka 40 ya ratiba ya kutoka nyumbani saa 12:30...... Madiwani Handeni mji wagoma kupitisha rasimu ya bajeti Konyagi yaja na nembo kutambua jitihada, weledi na ujasiri wa mwanamke Tanzania yatoa kauli mahindi kuzuiwa kuingia Kenya Watoto walioshinda sanaa ya uchoraji wazawadiwa na Toyota Mbunge ataka wanawake kuripoti matukio ya unyanyasaji Puma Energy watoa mafuta bure kwa wanawake SIASA View More... Kwa nini Maalim Seif alipendwa? Nimepata wakati mgumu kuandika hii makala juu ya Maalim Seif. Kwa hakika ni vigumu sana kujaribu kufupisha maisha ya Maalim Seif katika dakika chache, lakini kwa vile nimeulizwa na watu... BBI inavyoongeza fukuto la uchaguzi mkuu Kenya Mbio za uchaguzi mkuu wa Kenya unaotarajiwa kufanyika mwaka 2022 zimezidi kupamba moto nchini...... Prof. Lipumba: Maalim Seif alinifundisha siasa za Zanzibar zinazoelezeka, zisizoelezeka Mrithi wa Maalim Seif huyu hapa Zena Said afichua siri safari yake ya uongozi Safari ya miaka 81 ya Harith Bakari Mwapachu Mnigeria akaribia kuweka historia WTO DC aliyekimbia vurugu Burundi 2015 asimulia adha ya kuwa mkimbizi Biashara View More... Stendi mpya ya Mbezi itakavyofungua fursa lukuki za kiuchumi Wakati stendi ya kisasa ya mabasi ya mikoani iliyopo Mbezi Luis, jijini Dar es Salaam yenye thamani ya Sh50.9 bilioni ikitarajiwa kuanza kazi leo, uwepo wake unatazamiwa kuchochea fursa mpya za... Kiwanda chasimamisha uzalishaji, wakulima wa muhogo walia Wakulima wa zao la muhogo wamesema wanapata hasara kutokana na Kiwanda cha kusindika zao la...... Biteko aipongeza Barrick Serikali yaeleza ilivyodhibiti sukari kuingia Tanzania kiholela Mfumo mpya wa kutuma fedha kwa simu kuanza Julai Madini ya Tanzanite yanavyovutia mauzo ya bidhaa sokoni Serikali yaeleza ilivyodhibiti sukari kuingia Tanzania kiholela Wafanyabiashara 600 wamefunga biashara Geita Maoni na Uchambuzi View More... Utapeli wa fedha mitandaoni ufike mwisho Katika gazeti la Mwananchi la jana tuliandika kwa kirefu kuendelea kukithiri kwa vitendo vya utapeli wa fedha kwa njia ya simu na umma uliamini baada ya usajili wa laini za simu kwa alama za... Rais Magufuli kasema, mnasubiri nini kuvaa barakoa? Rais John Magufuli na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwa nyakati tofauti wamevunja ukimya kuhusu...... Zindiko la Magufuli si hirizi, talasim wala tunguri ANTI BETTIE: Status ya WhatsApp inahatarisha ndoa yangu ANTI BETTIE: Mke wangu muongo, mchonganishi hadi anatia kinyaa Muda wa dirisha dogo utendewe haki Sven amewapa makocha wetu mambo matatu Ngumi za ridhaa zirudishe uhalisia Michezo Burudani View More... Kaze afunguka baada ya kutimuliwa Yanga MASAA kadhaa baada ya Uongozi wa Klabu ya Yanga kumfungashia virago Kocha Mkuu wake Mrundi Cedric Kaze ametoa la moyoni baada ya uamuzi huo. Kaze alitua Yanga kwa mbwembwe Oktoba mwaka jana... Simba kupata pointi za mezani kwa Merrikh SIMBA huenda ikapata ushindi wa mezani dhidi ya Al Merrikh kutokana na timu hiyo ya Sudan...... Viongozi Yanga watajiwa kocha mpya Barcelona yachagua rais kisasa Kaze atimuliwa Yanga, benchi la ufundi lavunjwa Yanga ubingwa, bado sana Yondani uso kwa uso na Fiston Kaze amtupa Jukwaani Lamine, Makapu aanza Picha Photo gallery Uapisho wa Katibu Mkuu Kiongozi ,Balozi Bashiru Ally Photo gallery Mwananchi Digital yashinda tuzo advertisement Photo gallery ZIARA YA RAIS JOHN MAGUFULI DAR