Mabilioni ‘yayeyuka’ upatu mpya Watu wanaotajwa zaidi ya 300 hawajui hatima ya mamilioni yao ya shilingi walizowekeza katika kampuni ya Bestway Capital Management (BCM), na sasa wanamwangukia Rais Samia Suluhu Hassan, wakiomba...
Mwisho wa enzi wabunge, madiwani kupita bila kupingwa Unaweza ukawa mwisho wa utaratibu wa wabunge na madiwani wanaopita bila kupingwa katika chaguzi, baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania kubatilisha vifungu vya sheria vinavyoruhusu kuwapo kwa wabunge...
Mwili wa anayedaiwa kufa kwa kipigo cha polisi wachunguzwa Sakata la mwili wa Enos Misalaba (32), anayedaiwa kupoteza maisha akiwa Kituo cha Afya Mganza wilayani Chato na wananchi kugomea kuuzika kwa kuupeleka kituo cha polisi, limechukua sura mpya baada...
Familia aliyegongwa mwendokasi yahaha kumtibia akisubiri kulipwa Unalikumbuka tukio la basi la mwendokasi lililoacha njia na kugonga ukuta wa jengo lililopo Kisutu jijini Dar es Salaam huku likimkosa mwenda kwa miguu aliyekuwa akikatisha mtaani hapo? Mamlaka...
Shule iliyobadilishwa kutoka kilabu cha pombe yahitaji vyoo Zaidi ya wanafunzi 2,359 na walimu 25 wa Shule ya Sekondari Rejiko jijini Mbeya wanalazimika kutumia matundu 11 ya vyoo kutokana na uhaba wa matundu nane huku ilielezwa shule hiyo awali ilikuwa...
Kigogo polisi adaiwa kukimbia na Sh4.8 bilioni za ‘mazishi’ Nani waliochota mabilioni haya. Hili ndilo swali ambalo wengi wanajiuliza baada ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kubaini ufisadi wa Sh4.8 bilioni za mfuko wa...
Waziri Biteko atoa neno mkataba GGML, Stamico wa Sh55.2 bilioni Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) na Shirika la Madini la Taifa (Stamico) zimeingia mkataba 55.2 bilioni huku Waziri wa Madini, Dk Deto Biteko akizitaka kampuni zingine za ndani...
Ujio wa Kamala ni ishara ya kukua kwa demokrasia Kamala, mbali ya kuwa mwanamke wa kwanza kushika nafasi ya juu zaidi Marekani, vilevile ameweka rekodi ya kuwa Mmarekani wa kwanza mwenye asili ya Afrika kuwa Makamu wa Rais wa nchi hiyo. Sasa...
TPC yavunja rekodi ya uzalishaji kwa miaka 93 Kipindi cha mwezi Juni mpaka Machi mwaka huu wameweza kuzalisha miwa tani 1,150,000 ambazo ziliweza kuzalisha sukari tani 116,500 ikiwa ni kiwango cha juu kabisa kulinganisha na miaka mingine.
Simba imeanza kuiva- Robertinho Licha ya kupoteza kwa mabao 3-1 katika mechi ya mwisho ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Raja Casablanca usiku wa kuamkia jana, kocha wa Simba, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ ametamba...
Mastaa 10 wa Bongo Flava wamvutia Harris Mtandao wa Spotify umetoa orodha ya nyimbo 25 zinazosikilizwa na Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris huku wasanii 10 wa Tanzania wakipamba orodha hiyo ambayo msanii pekee wa kike ni Zuchu...
Kwa sheria zetu ukahaba si biashara halali Mabadiliko ya teknolojia yaliyopo hivi sasa duniani yamerahisisha mawasiliano na kusaidia huduma mbalimbali kuwa bora na hivyo kuongeza ufanisi kwa mtu mmoja mmoja, Taifa na dunia.
Mtikisiko mpya kidato cha 5&6 Ni kupoteza muda. Hii ndiyo kauli iliyo kwenye midomo ya wahitimu wengi wa kidato cha nne walioamua kujiunga na vyuo vya kati, badala ya kuendelea na masomo ya kidato cha tano na sita, licha ya...