Necta yatangaza matokeo kidato cha sita 2026, ufaulu waongezeka Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) limesema jumla ya watahiniwa 124,603 sawa na asilimia 99.56 wamepata ufaulu mzuri wa daraja kwanza hadi la tatu.
OPEC+ yaibua matumizi mapya, gharama za mafuta kushuka OPEC ni muungano wa nchi wazalishaji wa mafuta ulioanzishwa mwaka 1960 kwa lengo la kuratibu sera za uzalishaji na kuhakikisha bei ya mafuta inabaki katika kiwango kinachoweza kutabirika.
Hanlink Mobility: Gwiji wa usafirishaji Afrika Mashariki atua Tanzania, aahidi mapinduzi ya viwanda na ajira
Watu Credit (Tanzania) Limited yaadhimisha miaka mitano ya ujumuishaji wa kifedha, ikiwezesha mikopo ya zaidi ya Sh 700 bilioni
Idara ya Kilimo na Uhakika wa Chakula: Nguzo muhimu ya kuhakikisha upatikanaji na usalama wa chakula Zanzibar
Hemed: Sitaki mawaziri wa mafaili, nendeni kwa wananchi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amesema hataki kuona mawaziri wa ‘ma-file’ badala yake watoke maofisini kwenda kwa wananchi kusikiliza na kutatua changamoto zao.
Equity yaja na mkopo wa kubadilisha mfumo wa gesi magari Mkopo huo utakaotolewa na Benki ya Equity, utagharimia ubadilishaji wa mfumo wa gari, kisha mmiliki wa chombo hicho cha usafiri atatakuwa kulipa kidogokidogo kwa Benki hiyo.
Ubabe wa Bellingham ulivyoipa England jeuri kwa Mexico Ushindi huo unaifanya England kufuzu robo fainali ikiwa bado haijapoteza mchezo wowote katika mechi saba mfululizo kwenye michuano hiyo.
Baada ya kusepa WCB, Mbosso ageuka mfalme wa kolabo Huenda huu ukawa wakati ambao , Mbosso, anaufurahia zaidi tangu aanze safari yake kama msanii huru.
Amani na maendeleo ni chanda na pete Kuna jambo moja ambalo Watanzania wengi hulitaja kwa fahari wanapozungumzia taifa lao; amani. Kwa zaidi ya miongo sita tangu kupata uhuru, Tanzania imeendelea kuwa miongoni mwa nchi chache barani...