Hali ilivyo maeneo mbalimbali Dar Hali hii ni tofauti na ilivyokawaida kwani hata katika maeneo muhimu kama Tandika sokoni, biashara zimeonekana kuanza kwa kusuasua tofauti na kawaida ambapo barabara za Tandika hufurika...
OPEC+ yaibua matumizi mapya, gharama za mafuta kushuka OPEC ni muungano wa nchi wazalishaji wa mafuta ulioanzishwa mwaka 1960 kwa lengo la kuratibu sera za uzalishaji na kuhakikisha bei ya mafuta inabaki katika kiwango kinachoweza kutabirika.
Hanlink Mobility: Gwiji wa usafirishaji Afrika Mashariki atua Tanzania, aahidi mapinduzi ya viwanda na ajira
Watu Credit (Tanzania) Limited yaadhimisha miaka mitano ya ujumuishaji wa kifedha, ikiwezesha mikopo ya zaidi ya Sh 700 bilioni
Idara ya Kilimo na Uhakika wa Chakula: Nguzo muhimu ya kuhakikisha upatikanaji na usalama wa chakula Zanzibar
Ajali ya basi yaua sita Tabora, 11 wajeruhiwa Watu sita akiwemo mtoto mdogo wamefariki dunia na wengine zaidi ya 11 kujeruhiwa katika ajali ya basi la Kampuni ya Last Bullet iliyotokea leo Jumanne, Julai 7, 2026 eneo la Chemchem wakati...
Hemed awahimiza vijana Zanzibar kugeukia kilimo Hemed ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Julai 6, 2027 katika shamba la kilimo Mtule Paje, Mkoa wa Kusini Unguja ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya kutembelea mashamba ya mpunga, kilimo cha...
CCM, ACT kimeeleweka Zanzibar, SUK rasmi Julai 9 Uamuzi wa kutoa tamko la pamoja umebarikiwa na vikao vikuu vya vyama hivyo, vilivyofanyika kwa nyakati tofauti katika maeneo ya Zanzibar na Dar es Salaam.
Wafanyabiashara wa Ufaransa wakaribishwa Tanzania Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amewaalika wafanyabiashara kutoka Ufaransa kuwekeza nchini Tanzania kwani kuna fursa ya kutengeneza ajira, kuhamisha ujuzi na kujenga uchumi wa viwanda kwa faida...
Sarakasi TOC bado zamoto, Thadeo avunja ukimya, Mtaka asubiri ripoti IOC ilimtuma mwakilishi, Dk Donald Rukare kufuatilia uchaguzi huo uliofanyika Julai 5, 2026 jijini Dar es Salaam.
Sababu Blackpassy kuigiza kama mwenye changamoto ya kusikia Msanii wa vichekesho na uigizaji Pascalia Silanda (Blackpassy) ameendelea kuvutia mashabiki wengi kupitia mtindo wake wa kipekee wa uigizaji unaomfanya aigize kama mtu mwenye changamoto ya...
Amani na maendeleo ni chanda na pete Kuna jambo moja ambalo Watanzania wengi hulitaja kwa fahari wanapozungumzia taifa lao; amani. Kwa zaidi ya miongo sita tangu kupata uhuru, Tanzania imeendelea kuwa miongoni mwa nchi chache barani...