Kamati ya Bunge nayo yataka Sh200 bilioni za vijana zisitawanywe
Kamati ya Bunge ya Bajeti, imetaka kiasi cha Sh200 bilioni kilichotolewa na Serikali kwa ajili ya maendeleo ya vijana kisigawanywe katika wizara mbalimbali kama inavyofanyika, bali kiachwe kwenye...