Haya hapa masharti uombaji mikopo ya elimu ya juu, dirisha likifunguliwa rasmi Miongozo hiyo inahusu mikopo kwa wanafunzi wa shahada ya kwanza, stashahada, stashahada ya juu ya mafunzo ya sheria kwa vitendo (Law School) pamoja na mwongozo wa utoaji wa ruzuku ya Samia...
Kauli ya Polisi wanaohamasisha maandamano Julai 7 Kwa mujibu wa taarifa hiyo, uchunguzi unaofanywa na Jeshi la Polisi kwa saa 24 kupitia mifumo mbalimbali, umebaini kuwa baadhi ya watu waliokuwa wakihamasishana kufanya maandamano Julai 7 sasa...
Idara ya Kilimo na Uhakika wa Chakula: Nguzo muhimu ya kuhakikisha upatikanaji na usalama wa chakula Zanzibar
Vigogo wa CWT waendelea kusota rumande, upelelezi haujakamilika Shauri hilo limetajwa leo Ijumaa, Juni 19, 2026 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Denis Mpelembwa.
Hapi ahoji fedha za ‘tone tone’ Chadema, yenyewe yajibu Hapi pia alihoji uhalali wa kampeni ya “tone tone”, akidai kuwa bado kuna maswali yanayohitaji majibu kuhusu vyanzo vya fedha vinavyotumika kuendesha shughuli za chama hicho.
Tanzania, Uturuki kushirikiana kupunguza upotevu mazao Dodoma. Serikali ya Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuimarisha ushirikiano katika sekta ya kilimo ili kuongeza tija, kuimarisha usalama wa chakula na kuchochea ukuaji wa uchumi kupitia shughuli...
Hakimi aitwa mahakamani, aituliza Morocco Kauli hiyo ya Hakimi imekuja muda mfupi baada ya rufaa yake ya kuomba shauri hilo juu ya tuhuma zake za kubaka zitupiliwe mbali.
Ujenzi usiomalizika unaongeza maumivu Ni dhahiri kwamba Zanzibar inajengwa na kubadilika kwa kasi kubwa kimazingira na kimwonekano.