Rais Samia ateua wapya yumo Dk Maghembe Uteuzi huo ni mwendelezo wa kupanda nafasi mbalimbali kwa Dk Maghembe. Mwanataaluma huyo wa Afya, aliwahi kuwa ofisa katika Shirika la Afya Duniani, Geneva nchini Uswisi.
Vita ya ubingwa Yanga, Simba inavyosubiri majibu ya mwisho Matokeo hayo yameifanya Yanga iendelee kuongoza msimamo wa Ligi ikifikisha pointi 72 huku Simba ikifikisha pointi 70 na kuendelea kubaki katika nafasi ya pili.
Idara ya Kilimo na Uhakika wa Chakula: Nguzo muhimu ya kuhakikisha upatikanaji na usalama wa chakula Zanzibar
Dk Mwinyi ataka mbinu mpya kupambana dawa za kulevya Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ameviagiza vyombo vinavyohusika na mapambano ya dawa za kulevya kubuni mbinu mpya kuendana na mabadiliko ya zile wanazotumia wahalifu wa vitendo hivyo.
Wazazi CCM waahirisha sherehe kufuatia zuio la mikutano ya hadhara Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma, Maganya amesema tarehe mpya ya sherehe hizo itatangazwa baadaye baada ya hali kuruhusu.
Vita ya ubingwa Yanga, Simba inavyosubiri majibu ya mwisho Matokeo hayo yameifanya Yanga iendelee kuongoza msimamo wa Ligi ikifikisha pointi 72 huku Simba ikifikisha pointi 70 na kuendelea kubaki katika nafasi ya pili.
Mwaka mmoja wa mapinduzi kwa Mbosso! Umetimia mwaka mmoja tangu staa wa Bongofleva, Mbosso aachie mradi wake wa kwanza tangu aondoke WCB Wasafi, lebo aliyofanya nayo kazi tangu 2018 hadi mapema 2025.
Mifumo ya kidijitali ni silaha ya kuongeza mapato Katika kipindi hiki ambacho Serikali ya Tanzania imeweka mkazo mkubwa katika kujitegemea kifedha na kupunguza utegemezi wa mikopo pamoja na misaada kutoka nje, suala la kuongeza ukusanyaji wa...
Vituo vya afya vinavyobadilisha maisha ya wananchi Mwanza. “Wajawazito walikufa kwa sababu ya kukosa huduma…mtu anaumwa uchungu usiku anakosa mtu wa kumpeleka kwenye huduma za afya, analazimika kujifungulia huku kisiwani. Mwishowe hali...