Wachina wanavyotumia sauti kuondoa mawe kwenye figo Teknolojia hiyo inalenga kupunguza gharama za matibabu, muda wa kulazwa hospitalini na kuwawezesha wagonjwa kurejea katika shughuli zao za kawaida kwa haraka.
Vifo vya joto kali vyafikia 3,700 Ulaya, Tanzania yashuhudia baridi kali Mamlaka ya Afya ya Umma ya Ufaransa imeeleza kuwa takwimu hizo ni za awali na huenda zikaongezeka baada ya uchambuzi wa kina kukamilika.
Tanzania, Msumbiji kuchochea mabadiliko uchumi wa kikanda Katika hafla hiyo ya ufunguzi, Chapo ameambatana na mwenyeji wake, Rais Samia na kutoa tuzo kwa washiriki bora wa maonyesho hayo huku wakihutubia mamia ya wafanyabiashara na wawekezaji walioshiriki.
Hanlink Mobility: Gwiji wa usafirishaji Afrika Mashariki atua Tanzania, aahidi mapinduzi ya viwanda na ajira
Watu Credit (Tanzania) Limited yaadhimisha miaka mitano ya ujumuishaji wa kifedha, ikiwezesha mikopo ya zaidi ya Sh 700 bilioni
Idara ya Kilimo na Uhakika wa Chakula: Nguzo muhimu ya kuhakikisha upatikanaji na usalama wa chakula Zanzibar
Serikali yaonya wasio wataalamu wa afya mitandaoni Wataalamu wa afya nchini wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii kutoa elimu sahihi kwa wananchi na kutowaachia watu wasio na utaalamu, kuendelea kusambaza taarifa zinazoweza kupotosha kuhusu...
Fidia zisikwamishe miradi ya barabara Zanzibar - Hemed Unguja. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdullah amesema Serikali haipo tayari kuona miradi ya ujenzi wa miundombinu ya barabara ikikwama au kuchelewa kutokana na changamoto za...
Mvutano mazishi ya Rais Lungu wahamia kwenye siasa za uchaguzi Lungu alifariki Juni 5, 2025 mjini Pretoria, na tangu wakati huo mwili wake umehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti nchini Afrika Kusini kutokana na mzozo wa kisheria uliodumu.
Wachina wanavyotumia sauti kuondoa mawe kwenye figo Teknolojia hiyo inalenga kupunguza gharama za matibabu, muda wa kulazwa hospitalini na kuwawezesha wagonjwa kurejea katika shughuli zao za kawaida kwa haraka.
Bao la Chama laibuliwa Msimbazi Mechi hiyo iliyopigwa kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo Mbweni, Dar es Salaam, Mei 3, 2026, iliisha kwa miamba hiyo kutoka sare ya mabao 2-2.
Ndani ya Boksi: Kuna mawinga wa uzinzi!!! Ndani ya Jiji la mawe Mwanza. Mandhari, hali ya hewa na lafudhi ya watu wake. Ilikuwa burudani na utalii tosha. Pombe zilishuka kooni kitakatifu na kutuama maungoni kiinjilisti. Kimsingi ni pepo...
Amani na maendeleo ni chanda na pete Kuna jambo moja ambalo Watanzania wengi hulitaja kwa fahari wanapozungumzia taifa lao; amani. Kwa zaidi ya miongo sita tangu kupata uhuru, Tanzania imeendelea kuwa miongoni mwa nchi chache barani...