Algeria yatoa tani tisa vifaa vya elimu kumwenzi mwasisi wa taifa
Serikali ya Algeria imetoa tani tisa za vifaa vya elimu vyenye thamani ya Dola 250,000 za Marekani, sawa na Sh658.7 milioni kwa sekondari ya wasichana Ben Bella, Unguja Zanzibar ikiwa ni sehemu...