Rais Samia Suluhu Hassan amepewa Tuzo ya Babacar Ndiaye kwa mwaka 2022 (Babacar Ndiaye Trophy 2022) ikiwa ni kutambua jitihada anazozifanya katika ujenzi wa miundombinu nchini.
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha) John Pambalu, Katibu Mwenezi, Twaha Mwaipaya pamoja na viongozi wengine 18 wa Chama hicho...
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, imeridhia kusimamishwa kwa Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi, James Mbatia na Sekretarieti yake...
Wanafunzi 19 na waalimu wawili wamefariki dunia kwa kupigwa risasi baada ya mtu mmoja kufanya shambulizi katika shule ya msingi kusini mwa Texas...
Baada ya viongozi wa vyama vya NCCR-Mageuzi na Chadema kumtupia lawama Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, kuchochea migogoro ndani...