Kongamano la Utumishi wa Umma kufanyika Dar, Dk Nchimbi kuwa mgeni rasmi
Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), kwa kushirikiana na Chuo cha Utawala wa Umma Zanzibar (IPA), kimeandaa Kongamano la Pili la Utumishi wa Umma Tanzania litakalofanyika Juni 18, 2026...