Bei mpya ya mafuta yazidi kung’ata Bei mpya za mafuta zilizotangwa na Ewura kwa mwezi Oktoba imezidi kuogopesha huku dizeli ikifikia hadi Sh3600 kwa baadhi ya maeneo.
Majaliwa aagiza kusimamishwa kazi watumishi Jiji la Mwanza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza, Elikana Balandya kuwasimamisha kazi watumishi wa idara za mipango miji na ardhi wa jiji la Mwanza.
PRIME Mume azika mke chini ya ulinzi akidaiwa kushindwa kuchangia matibabu Vuta nikuvute kuhusu nani mwenye uhalali wa kuzika imesababisha mwili wa Christina Chigunda kuzikwa chini ya usimamizi wa polisi waliokuwa na silaha za moto.
Sio Boeing Max pekee, kuna ndege nyingine mbili Dar es Salaam. Hafla ya mapokezi ya Boeing 737-9 Max ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) inayotarajiwa kuwasili Tanzania leo Jumanne Oktoba 3, 2023 saa tisa alasiri, itaambatana na mapokezi ya...
Aliyekuwa na jinsi mbili aondolewa ya kike Hospitali ya Temeke Kutokana na kukua kwa teknolojia ya matibabu, Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Temeke, imefanikiwa kufanya upasuaji wa kutoa viungo vya uzazi vya kike kutoka kwenye korodani ya mgonjwa aliyekuwa na...
PRIME Uteuzi wa Matinyi wawaibua wadau Wiki moja baada Rais Samia Suluhu Hassan kumhamisha aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amemteua Mobhare Matinyi kuziba nafasi hiyo, huku wadau wa...
PRIME Mume azika mke chini ya ulinzi akidaiwa kushindwa kuchangia matibabu Vuta nikuvute kuhusu nani mwenye uhalali wa kuzika imesababisha mwili wa Christina Chigunda kuzikwa chini ya usimamizi wa polisi waliokuwa na silaha za moto.
Siri usafi wa mazingira Forodhani, Darajani Mgeni akifika Zanzibar yapo maeneo mawili ambayo anashawishika kwenda, iwapo ataondoka bila kutembelea maeneo hayo ni sawa kama hajafika Zanzibar.
Chongolo atua Katavi, aanza na Dk Biteko Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amemtaka Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko kwenda mkoani Katavi kufuatilia kwa kina utekelezaji wa mradi...
Hatima ya fedha, mali zako benki inapofilisika Ripoti ya utafiti wa ujumuishi wa kifedha ya Finscope ya mwaka 2023 inaonyesha kuwa asilimia 22.2 ya Watanzania wenye miaka zaidi ya 16 wanatumia huduma za kibenki, idadi hiyo ikiongezeka kutoka...
Tofauti ya Kajala na Paula iko hapa Paula! Na mabinti wengine wa kizazi cha miaka ya 2000. Wana tofauti kubwa na Kajala na mabinti wa kizazi cha miaka ya 1990 kushuka chini. Na tofauti yao ipo katika malezi tu.
Nchi inahitaji zaidi uwekezaji mkubwa, tuvute wawekezaji Hivi karibuni Tanzania ilishuhudia uzinduzi wa uwekezaji mkubwa wa kiwanda cha kuzalisha vioo vya ujenzi, ikiwa ni cha nne kujengwa barani Afrika na cha kwanza katika ukanda wa Afrika mashariki...
Tokelezea na nguo zenye rangi ya chui ‘Leopard Print’ Leopard Print au mavazi yenye rangi ya chui ni aina ya nguo ambayo imezidi kubamba katika suala zima la mitindo, ambapo huvaliwa na rika zote.