Marufuku kulipa kwa kutumia dola huduma hizi Serikali ya Tanzania imepiga marufuku matumizi ya malipo kwa sarafu isiyo ya Tanzania kwa madai ni moja ya njia za utakatishaji fedha.
Dengue yatikisa Dar, Pwani, Wizara ya Afya yatoa tahadhari Mwenendo wa ugonjwa umeonesha ongezeko la kipindi cha kuanzia Aprili hadi Juni 24, 2026.
Sakata la uongozi CUF latua kwa Msajili, aweka msimamo Wanachama hao wanaitaka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kufuta matokeo ya uchaguzi mkuu uliomweka madarakani Mwenyekiti wa chama hicho, Yusuf Mirambo na wenzake.
Idara ya Kilimo na Uhakika wa Chakula: Nguzo muhimu ya kuhakikisha upatikanaji na usalama wa chakula Zanzibar
Teknolojia inavyoweza kuwa silaha kupambana na bidhaa bandia sokoni Dar es Salaam. Katika kuimarisha mapambano dhidi ya bidhaa bandia nchini, Tume ya Ushindani Tanzania (FCC) imetakiwa kuanzisha na kupanua matumizi ya teknolojia ya kisasa katika uchunguzi...
Rais Mwinyi azialika benki za ndani kukopesha miradi Zanzibar Rais Mwinyi amesema Serikali iko tayari kuimarisha ushirikiano na benki za ndani zinazodhihirisha dhamira ya kuunga mkono jitihada za maendeleo, hususan katika utekelezaji wa miradi ya kimkakati...
Sakata la uongozi CUF latua kwa Msajili, aweka msimamo Wanachama hao wanaitaka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kufuta matokeo ya uchaguzi mkuu uliomweka madarakani Mwenyekiti wa chama hicho, Yusuf Mirambo na wenzake.
Marufuku kulipa kwa kutumia dola huduma hizi Serikali ya Tanzania imepiga marufuku matumizi ya malipo kwa sarafu isiyo ya Tanzania kwa madai ni moja ya njia za utakatishaji fedha.
Kocha Scotland akata tamaa kuingia 32 bora Kocha wa Scotland, Steve Clarke anaamini kwamba timu yake haitoweza kufuzu hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia licha ya kumaliza ikiwa nafasi ya tatu kwenye kundi C ikikusanya pointi tatu.
Sababu, Jackie Chan kutowarithisha wanawe utajiri wake Gwiji wa filamu za mapigano duniani, kutoka Hong Kong, Jackie Chan, amewahi kueleza sababu za kutowaachia watoto wake sehemu ya utajiri wake unaokadiriwa kufikia dola 400 milioni za Marekani...
Mifumo ya kidijitali ni silaha ya kuongeza mapato Katika kipindi hiki ambacho Serikali ya Tanzania imeweka mkazo mkubwa katika kujitegemea kifedha na kupunguza utegemezi wa mikopo pamoja na misaada kutoka nje, suala la kuongeza ukusanyaji wa...
Afrika yatakiwa kuongeza uwekezaji utoaji huduma za afya ya akili Takwimu hizo zinaonyesha pengo kubwa la huduma ambalo linaendelea kuchangia mzigo wa changamoto za afya ya akili katika bara hilo.