PRIME Maswali magumu ya Mstaafu yanapokosa majibu rahisi Tumemshtua Mheshimiwa Rais aliyepo madarakani atafute jibu ya nini kimetokea hadi nyongeza ya pensheni yetu iishie kwenye makaratasi tu na sio mifukoni mwetu.
Mwanamke akutwa amefariki ‘gesti’ akiwa amefungwa kitambaa usoni Amesema mwili wa marehemu umepelekwa Hospitali ya Wilaya ya Misungwi kwa ajili wa uchunguzi licha ya kuwa bado haujatambulika hadi sasa.
Waziri Ulega ‘awafyatua’ watumishi mizani Ulega amesema ili kuwa na uchunguzi huru wa mwenendo wa tukio hilo, watachunguza pia mengine yanayoendelea katika mizani hiyo nchini.
Sugu athibitisha kugombea ubunge Oktoba Mbeya ni miongoni mwa mikoa iliyopendekeza majimbo yake kugawanywa ikiwa ni Mbeya Mjini yapatikane mawili la Mbeya Mjini lenyewe na la Uyole. Pia la Mbeya Vijijini yapatikane mawili la Mbeya...
M23 wauteka mji mwingine DRC, Serikali yathibitisha Kundi la waasi wa M23 limetangaza kuutwaa Mji wa Walikale nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na kuvifurusha vikosi vya Jeshi la Serikali ya nchi hiyo (FARDC).
Rais Samia mgeni rasmi kuapishwa Rais wa Namibia Rais Samia amealikwa kama mgeni rasmi na anatarajia kuhutubia kwenye sherehe hizo za uapisho zitakazofanyika sambamba na maadhimisho ya miaka 35 ya uhuru wa Namibia.
Serikali kufanya sensa ya uzalishaji viwandani Mara ya mwisho sensa ya aina hiyo ilifanyika mwaka 2013 iliyoonyesha idadi ya viwanda vilivyokuwepo ni 49,243 ndani yake vikiwamo vidogo kabisa, vidogo, vya kati na vikubwa.
Wafanyabiashara walikimbia Soko la Mkwajuni Licha ya Serikali kuweka mazingira mazuri kwa wafanyabiashara ikiwemo kujenga masoko ya kisasa katika maeneo mbalimbali, bado mwitikio wa wafanyabiashara ni mdogo wa kufanya biashara katika...
M23 wauteka mji mwingine DRC, Serikali yathibitisha Kundi la waasi wa M23 limetangaza kuutwaa Mji wa Walikale nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na kuvifurusha vikosi vya Jeshi la Serikali ya nchi hiyo (FARDC).
Serikali kufanya sensa ya uzalishaji viwandani Mara ya mwisho sensa ya aina hiyo ilifanyika mwaka 2013 iliyoonyesha idadi ya viwanda vilivyokuwepo ni 49,243 ndani yake vikiwamo vidogo kabisa, vidogo, vya kati na vikubwa.
Kumbe Neymar angetwaa Ballon d'or tatu Santos, Brazil. Staa wa zamani wa Real Madrid, James Rodriguez amesema kuwa mastaa wawili, Lionel Messi na Cristiano Ronaldo walimzuia Neymar kutwaa tuzo maarufu ya Ballon d'or. Kiungo huyo...
Mwananchi Newsletter Sent every week with an update on the latest Africa news and analysis to keep you plugged into the region. Weekly newsletter Subscribe
Ni kibosi au kizamani Kama kuna jambo linalowagusa wasanii wa Tanzania hasa Bongo Fleva na Bongo Movie ni maisha kabla na baada ya umaarufu. Swali kubwa ni je wasanii wetu wanajua jinsi ya kujiweka sawa kabla na baada...
PRIME Maswali magumu ya Mstaafu yanapokosa majibu rahisi Tumemshtua Mheshimiwa Rais aliyepo madarakani atafute jibu ya nini kimetokea hadi nyongeza ya pensheni yetu iishie kwenye makaratasi tu na sio mifukoni mwetu.
PRIME Daktari aeleza madhara ya mapengo, aonya ukeketaji viungo kinywani “Tunakosa vingi sana.” Ndivyo anavyoanza kusema mkazi wa Tarime mkoani Mara, Christopher Sereri (52) akieleleza magumu anayopitia kutokana na mapengo aliyoyapata baada ya kung’oa meno sita kwenye.