Yanga, Simba kuzoa mamilioni FIFA Yanga, Simba na Azam FC kila moja ina uhakika wa kupata zaidi ya Sh300 milioni kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani ukiwa ni mgao unaohusiana na Kombe la Dunia 2026 linaloanza keshokutwa...
Hatari ndoa inapogeuka ‘mali ya umma’ Zamani, ndoa ilikuwa jambo la heshima na siri. Ilikuwa ni agano kati ya watu wawili, likiheshimiwa na jamii lakini lisiloingiliwa ovyo.
Ziara ya Russia haitaathiri mahusiano yetu na nchi nyingine Serikali imesema ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Russia haitaathiri uhusiano wa kidiplomasia wala ushirikiano wa kiuchumi kati ya Tanzania na mataifa mengine duniani.
Zanzibar yageukia teknolojia ya SRI na uhifadhi shirikishi kunusuru misitu, kuongeza tija katika kilimo
Watu wawili wafariki dunia ajali baada ya magari kugongana uso kwa uso Daraja la Wami Watu wawili wamepoteza maisha katika ajali iliyohusisha magari mawili kugongana uso kwa uso katika eneo la Daraja la Wami, Kata ya Mandela, Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.
Serikali za mitaa Mjini Magharibi zatakiwa kubuni miradi ya mapato Watendaji wa serikali za mitaa wamehimizwa kubuni na kuendeleza miradi itakayoongeza mapato katika mamlaka zao.
Chadema yamfuta uanachama aliyekishtaki mahakamani Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimemfukuza uanachama Said Issa Mohammed kwa kosa la kukiuka katiba, kanuni na miongozo ya chama hicho baada ya kukishtaki mahakamani.
Tanzania itakavyovuna Sh5.25 trilioni za uwekezaji kutoka Russia Tanzania inatarajia kuvutia uwekezaji na biashara zenye thamani ya zaidi ya Dola 2 bilioni za Marekani (Sh5.2 trilioni) kutoka Russia katika kipindi cha miaka mitano ijayo huku sekta ya afya...
Geita Gold, Kagera Sugar zarejea Ligi Kuu Geita Gold na Kagera Sugar leo Jumapili, Juni 7, 2026, zimerudi tena katika Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuibuka na ushindi kwenye mechi zao za Ligi ya Championship zilizochezwa leo katika...
Jiongeze: Marioo hakomi kwa mkwewe Kuna muunganiko wa Harmonize na Marioo. Kwanza ni kifamilia zaidi kwa maana ya Marioo wa Paula na Harmo wa Kajala. Toto Bad ni wa mtoto na Konde Boy ni wa mama mtu. Kimsingi ni familia ya mtu na...
Msemo ‘wanandoa hawana siri’ unavyoibua mjadala Katika safari ya ndoa, kauli “hakuna siri kati ya wanandoa” husikika mara nyingi kama kanuni isiyopaswa kuhojiwa.