Sababu bendera ya Saudi Arabia kutowekwa ardhini Kombe la Dunia Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) limeandika ukurasa mpya wa diplomasia katika michezo baada ya kukubali rasmi ombi la Saudi Arabia la kutoruhusu bendera yake ya taifa kulazwa chini na...
Dakika mbili za maajabu Yanga ikirejea kileleni Dakika mbili za maajabu zimetosha kuirudisha tena Yanga kileleni kibabe baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0, dhidi ya Fountain Gate
TEN/MET inavyojenga mustakabali wa mtoto wa Kitanzania kupitia elimu jumuishi na mazingira salama ya kujifunzia
Pengo kukosekana sheria ya bajeti Zanzibar latajwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imekiri kuwapo pengo la kutokuwepo kwa sheria mahususi ya bajeti kwa muda mrefu inayoongoza usimamizi wa mzunguko mzima wa bajeti.
Takwimu rasmi kuchochea uchumi, Ridhiwani ataka uwajibikaji Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imesema takwimu rasmi ndiyo nguzo katika uchumi wa Taifa na kusaidia msukumo wa tathimini ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050.
Dakika mbili za maajabu Yanga ikirejea kileleni Dakika mbili za maajabu zimetosha kuirudisha tena Yanga kileleni kibabe baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0, dhidi ya Fountain Gate
Safari ya vituko vya Anko Mafix Mwigizaji na mtayarishaji wa maudhui mtandaoni Idrisa Shabani 'Anko Mafix' amesema jina lake la kisanii limetokana na tabia yake ya zamani ya kusimulia hadithi za kubuni. Hali iliyowafanya...
Ujenzi usiomalizika unaongeza maumivu Ni dhahiri kwamba Zanzibar inajengwa na kubadilika kwa kasi kubwa kimazingira na kimwonekano.