CDF wa Kenya afariki dunia katika ajali ya helkopta Rais wa Kenya William Ruto ametangaza kifo cha Mkuu wa Majeshi wa nchi hiyo (CDF), Jenerali Francis Ogolla baada ya kupata ajali ya helkopta leo Alhamisi Aprili 18, 2024.
PRIME Kauli ya 'tutawapoteza' ya kigogo UVCCM moto Msajili wa vyama vya siasa, Jaji Francis Mutungi atoa neno. Sheikh Ponda akumbusha waliopotea
PRIME Fahamu njia sahihi ya kuacha pombe kiafya Ni uchungu kwa ndugu pale mpendwa wao anapoangukia kwenye unywaji wa pombe wa kupindukia.
PRIME Wenye nyumba Bonde la Msimbazi washtukiwa kutaka malipo ya wapangaji “Mfano kuna waliojiandikisha kuwa ni wapangaji lakini tulipohakiki tukakuta ni walewale wenye nyumba ambao walishalipwa fidia, mbaya zaidi wengine wameweka hadi majina ya watoto wao kuwa ni...
PRIME Mambo saba usiyopaswa kufanya baada ya kula Chakula ni muhimu kwa afya njema na kuna misingi inatakiwa kufuatwa ili kuepukana na madhara yatakayosababishwa baada ya kula chakula.
Mbunge: Rais mstaafu Zanzibar anaishi kwenye hali ngumu Akiuliza swali bungeni leo Ijumaa Aprili 19, 2024, Suleiman amesema kuna baadhi ya viongozi ambao waliitumikia Serikali ya Tanzania akiwamo Dk Salmin ambaye anaishi katika hali ngumu.
Mbunge: Rais mstaafu Zanzibar anaishi kwenye hali ngumu Akiuliza swali bungeni leo Ijumaa Aprili 19, 2024, Suleiman amesema kuna baadhi ya viongozi ambao waliitumikia Serikali ya Tanzania akiwamo Dk Salmin ambaye anaishi katika hali ngumu.
PRIME Chanzo ongezeko la vifo, ajali za barabarani Zanzibar Zanzibar licha ya kuwa na miundombinu ya barabara, bado ina safari ndefu ya kuziwezesha kuwa na sifa hiyo
Mbowe, Lissu watakavyoongoza maandamano ya amani Chadema Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti -Bara, Tundu Lissu watashiriki maandamano hayo na ratiba imetolewa ikieleza namna watakavyoyaongoza
PRIME Wazanzibar wengi hawana mpango wa kustaafu Kukosekana kwa elimu ya kujiandaa kustaafu, mfumo wa elimu usiomuandaa mtu kujiajiri na uwepo wa pensheni inayotolewa na Serikali kwa wazee zimetajwa kuwa miongoni mwa sababu ya asilimia 47 ya...
Mapacha Singida Black Stars, Singida FG sare kila kitu LIGI Kuu Bara imeendelea tena leo kwa mchezo mmoja kupigwa ambapo wenyeji Ihefu (Singida Black Stars) wameshindwa katamba kwenye Uwanja wa Liti mjini Singida baada ya kulazimishwa sare ya...
Ayra uso kwa uso na Rihanna Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Ayra Starr amekutana na msanii mwenzake Rihanna, usiku wa kuamkia leo katika onyesho la Fenty X Puma lililofanyika jijini London
Mafyatu tunakumiss Edward Sokoine Najua umelala kwa miaka 40. Juzi nilisikia chawa mmoja akikuita mzee. Kwa uchache, nikupe bonge la kumbukizi. Uliondoka mbichi, miaka 45 tena kwa utata. Hata hivyo, ilisemekana, ulifyatuliwa na...
PRIME Mambo saba usiyopaswa kufanya baada ya kula Chakula ni muhimu kwa afya njema na kuna misingi inatakiwa kufuatwa ili kuepukana na madhara yatakayosababishwa baada ya kula chakula.