Mahakama yatengua kifungo cha maisha kesi ya ubakaji
Mahakama ya Rufaa imebatilisha hukumu ya kifungo cha maisha jela dhidi ya mkazi wa Mto wa Mbu, Wilaya ya Monduli mkoani Arusha, Baraka Makubi, baada ya kubaini kuwa ushahidi uliowasilishwa dhidi...