PRIME Sheikh aeleza mbinu kuzifanya ‘ndoa za uji’ zidumu Shinikizo la kusaka uhalali wa ibada ya funga katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, ni miongoni mwa mambo yanayotajwa kuchochea ndoa nyingi zinazofungwa unapokaribia au wakati wa mwezi huo.
‘Zanzibar iongeze vivutio vya utalii’ Wakati wageni 84,069 wakiingia Zanzibar Januari mwaka huu, wataalamu wa uchumi na takwimu, wameshauri kuongeza vivutio ili kuepusha watalii kuishia hotelini.
PRIME Siri Rais Samia kuendelea kung’ara majukwaa ya kimataifa Miaka minne ya Rais Samia Suluhu Hassan madarakani imekuwa na ushawishi mkubwa katika jumuiya ya kimataifa kutokana na kuaminiwa na kupewa majukumu kwenye jumuiya za kikanda na ulimwenguni kwa...
Wanaotoa mikopo umiza ujumbe wenu huu hapa Serikali imezitaka kamati za ulinzi na usalama kuwachukulia hatua kali wale wanaotoa mikopo bila kuwa na leseni, pamoja na kuwanyang’anya leseni hizo wote wanaotoa mikopo bila kuzingatia masharti...
PRIME Xavi afichua siri za Elie Mpanzu Kocha anayefundisha mazoezi binafsi, Mohammed Mrishona maarufu kama 'Xavi' amefichua kile anachokifanya kiungo mshambuliaji wa Simba, Ellie Mpanzu anayejifua chini yake kwenye Uwanja wa Bora...
Mwananchi Newsletter Sent every week with an update on the latest Africa news and analysis to keep you plugged into the region. Weekly newsletter Subscribe
Rais Samia mgeni rasmi kwenye ugawaji tuzo za Comedy Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye ugawaji wa tuzo za wachekeshaji ‘Tanzania Comedy Award’, Jumamosi, Februari 22, 2025 katika...
Kwa nini tuwape kinga wasimamizi wa uchaguzi? Bado ninajiuliza na sijapata majibu ya ni kwa sababu gani tunatunga sheria ya kuwapa kinga wasimamizi wa uchaguzi ambao wanapaswa kutenda kazi kwa kuzingatia haki na weledi ili kuufanya uchaguzi...
PRIME Sheikh aeleza mbinu kuzifanya ‘ndoa za uji’ zidumu Shinikizo la kusaka uhalali wa ibada ya funga katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, ni miongoni mwa mambo yanayotajwa kuchochea ndoa nyingi zinazofungwa unapokaribia au wakati wa mwezi huo.