Benki ya Dunia: Wanaotumia chini ya Sh7,834 kwa siku ni maskini kupindukia Benki ya Dunia (WB) imetangaza marekebisho ya kiwango cha kimataifa cha umaskini, ikipandisha kiwango cha chini kutoka Dola 2.15 za Marekani kwa siku (sawa na Sh5,614) hadi Dola 3.00 (Sh7,834)...
Zanzibar yaanza kukusanya takwimu za uwiano wa kijinsia Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Zanzibar (OCGS), kwa kushirikiana na wadau wengine wakiwemo Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (Tamwa) Zanzibar, wameanza kuandaa na kutengeneza mfumo wa...
ACT Wazalendo: Mapambano hayahitaji kutundika daruga Chama cha ACT-Wazalendo kimesisitiza kuwa mapambano dhidi ya watawala si ya muda mfupi, bali ni safari ya muda mrefu inayohitaji uvumilivu na msimamo thabiti.
Changamoto zinazoikabili kahawa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Boniphace Simbachawene ametaja changamoto zinazoikabili sekta ya kilimo cha kahawa nchini, ikiwamo upotevu wa fedha za wakulima unaosababishwa na viongozi...
Kutojua sheria kigingi wanasoka wa kike Mwenyekiti wa Baraza la Watu wenye ulemavu Zanzibar, Salma Saadat akizungumza wakati wa kuzindua mpango wa uiusanyaji wa takwimu za kijinsia katika nafasi za uamuzi ngazi ya chini hadi Taifa kwa...
G Nako kuanzia Nako2Nako, Weusi hadi WCB Wasafi Kati ya wanamuziki Bongo wanaojua kubadilika kuendana na wakati, basi ni huyu G Nako a.k.a Warawara, The Kankara, The Finest of AR. mwamba anajua kipi mashabiki wanataka kwa wakati gani na mwisho...
Tuwachague viongozi wenye uwezo, kwa maslahi ya Taifa Mchakato wa uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025 hapa nchini umeanza, huku vyama vya siasa vikiendelea kutoa fomu kwa wanachama wao wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi,...
Wanasayansi wabaini sababu usonji kukumba zaidi wavulana Wanasayansi wamebaini sababu ya kwa nini wavulana wana uwezekano mkubwa zaidi wa kuwa na usonji na tatizo la kutotulia ‘ADHD’ kuliko wasichana, huku kemikali iitwayo PFHxA ikihusishwa.